Marekani wamesha maliza unafiki wao wamemuuwa Gadaff ambaye ana ata atia eti wanadai anauongoz wa kibabe wakati kitu icho akipo ila ni unafik na ulasimu wa mmalekani tu imeniboa sana wanajamii hii taalifa ya leo
Sio siri asilimia kubwa ya watanzania kingereza bado sana na ata wale ambao wanakijua wanapokutana na wagen huwa wanaingiwa na uwoga sana ndo mana maneno mengi hukosea sana tena kwa hili 2simlaum bwana Marin sana 2jifunze au kama vp 2pige kiswahili mwanzo mwisho ni che2 ichi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.