Habari wakuu. Naombeni ushauri ktk hili
Nina options mbili, either kununua kiwanja au kufungua mradi kidogo miezi michache ijayo. Vyote ni vya muhimu na siwezi kuvifanya kwa pamoja maana resources hazitatosha. Nawaza thamani ya ardhi inazidi kupanda naweza kuingia gharama kubwa nikinunua...
Ni vizuri kutoa tangazo lenye taarifa kamili kama viwanja vimepimwa au vina hati, kama kuna huduma za kijamii karibu kama umeme, maji shule, hospital n.k. Maelekezo ya kufika huko hata kwa mtu asiye mwenyeji wa dar pia ni muhimu.
Habari wadau. Ninatumia accer aspire 5250BZ467. Hii laptop ukiwasha inatoa mlio mkali sana, ukiizima Kisha ukiwasha tena baada ya muda ndio inawaka. Vilevile Mara nyingi namba '7' hujiandika yenyewe bila mimi kuandika nikiwa na type hata sehem ya kuandika password saa ya Ku log in computer. Ni...
Habari waheshimiwa. laptop yangu ina tendency nikiwasha inaptoa mlio mkali sana badala ya kuwaka, naizima kisha baada ya muda nikiwasha inawaka vizuri. Pia sehem ya kuandika password kuna keys zinajiandika bila mimi kuandika, pia hata nikiwa na type hizo key huwa zinajiandika, na huwa ni namba 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.