Petroleum (crude oil) is not a mineral.
Crude oil is a hydrocarbon.
Crude oil's origin come from dead ancient shallow marine microorganisms (diatoms) deposited in an oxygen depleted sedimentary environment which prevents decay and preserves the organism's energy potential that can mature into...
Umri wa hzo nyayo (19,000 yrs uliotajwa) unakinzana na uhalisia kwamba walikuwa wanatembea juu ya ujiuji wa volcano maana katika miaka hyo hakuna mlipuko uliotokea kwenye Oldonyo Lengai kusababisha ujiuji wa moto. Nakubaliana na fikra zao kwamba nyayo hzo zilikuwa kwenye tope litokanalo na...
Jamani angalieni kiambata hapo ndo waliyotoa jana, sijui kama ndo ya mwisho au kuna fani ambayo haijatoka bado maana website yao haifunguki mpaka mudas huu.
"Mwenyekiti huyo alikiri kuwa Ally Badru Ally waliyemsajili kutoka Suez Canal ya Misri hakuwapo kwenye mipango yao, lakini kwa sababu alikuwapo tu Dar es Salaam wanaamini kuwa atawasaidia katika ushambuliaji."....... nukuu toka kwa Mwenyekiti wa kamati ya usajili Simba kupitia gazeti la...
Nina uhakika utakuwa umetumwa ww si bure, na ufie mbali na upuuzi wako! Mfano mzuri umeutoa ww mwenyewe na bado unatetea upuuzi huo, je Wazee wa Africa Mashariki wanahangaikia fao la kujitoa au pension? na je wanachokiadai kitawasaidia kuwa na maisha bora kwenye umri wao kwa sasa?
Ndio maana...
Kuhusu suala la PAYE nadhani hiyo uliyoitoa (14%) haitoi uhalisia, hebu jaribu kucheck hapo kwenye note chini. Suala la msingi hapa pamoja na kupunguza asilimia tajwa kwa kila kiwango pia wanapaswa kupandisha kiwango cha mwisho i.e 720,000/= ili mtu ahesabiwe kuwa high tax payer na kukatwa 30%...
Nawasalimu wajameni, Naomba mwenye ufahamu ni wapi ndani ya bongo (Dar) naweza kupata GPS (Global Positioning System) anielekeze ninahitaji kupata kadhaa. Natanguliza shukrani.
Je unahitaji viwanja vilivyopimwa tu au hata ambavyo havijapimwa pia? Mashamba yapo buhongwa kama uko serious ni pm. nb; mm sio dalali na wala sihitaji dalali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.