Ila changamoto ya silent ocean ipo na kwa agents wengine mizigo inachelewa mpaka unasahau uliagiza ni nini? Miezi hadi 3?.....je? Huko kwingine kukoje?
Teknolojia inazidi kwenda kasi,Sasa unaweza itumia tv yako kama Smartphone yako,kwa kifaa cha Adapter miracast (Anycast) kwa Tsh.40,000/= tu,ni wireless display mpaka kwenye Tv yako kwa umbali wa mita 15.Tazama hapa video ya matumizi yake.
Sent from my AllCall_S1_X using JamiiForums mobile app
Unapo nunua simu unakua na interest nayo kwa viti ulivyopenda wewe umependa vigezo hivyo mi nimependa kukaa na chaji na bei yake nzuri ni nafuu sana,sasa unadhani kila mmoja unataka afanane na unachopenda wewe jamaa kauliza majina ya simu aliexpress na walio wai zitumia hiyo tecno anaijua hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.