Kwa waliowahi kutumia hizi brand za smartphone

Ukiwa mgonjwa wa Samsung na iPhone huwezi kuyaona but wengine hawanunui simu jina wananunua kutokana na zinawatosheleza kwa yale wanayoyataka?

Na mara nyingi huwa ni nzuri utashangaa una Xiaomi yako mkononi haijawahi kukusumbua but ukipita kwenye vibanda vya mafundi simu utakuta wameweka sample za Samsung na iPhone mbovu.
Sasa kama kuna iphone milioni mbili na Samsung mili 2.
Xiomi zipo tatu.

Unataka ukute simu zipi kwa fundi?
 
Sasa bro simu ina mediatek na bado ram yake gb2 16g rom si bora hata uwe na tecno L9 plus kdg kali,
Unapo nunua simu unakua na interest nayo kwa viti ulivyopenda wewe umependa vigezo hivyo mi nimependa kukaa na chaji na bei yake nzuri ni nafuu sana,sasa unadhani kila mmoja unataka afanane na unachopenda wewe jamaa kauliza majina ya simu aliexpress na walio wai zitumia hiyo tecno anaijua hana shida nayo
 
Wasikutishe hao Mkuu,hizo simu sio level ya Tecno ndo maana hata China na Japan zinauzwa.
Tatizo wabongo tunaangalia Sana majina hatuangalii bidhaa,hizi simu hata me nilikua sizijui ila niliona kwenye forums ya wanaigeria wanazizungumzia,hazina ubaya wowote kama watu wanavyotaka kukuamisha.

Kama unataka kuchukua,chukua Umidigi.
9182138_stats_jpegde94c7ac00782b15cb25b0102bbac355.jpeg
 
Mimi niliipenda Doogee y7plus lakini nina wasiwasi na frequency zake na zile zinazotumika hapa kwetu je inaweza kufanya kazi kwenye mitandao yetu kama tigo,airtrl. Voda n.k ? Au nso inakuwa sio compartible hapa kwetu? Mwenye kujua anijuze tafadhari
 
Mimi niliipenda Doogee y7plus lakini nina wasiwasi na frequency zake na zile zinazotumika hapa kwetu je inaweza kufanya kazi kwenye mitandao yetu kama tigo,airtrl. Voda n.k ? Au nso inakuwa sio compartible hapa kwetu? Mwenye kujua anijuze tafadhari
Inafanya kazi,zile ni global version
 
Ukiwa mgonjwa wa Samsung na iPhone huwezi kuyaona but wengine hawanunui simu jina wananunua kutokana na zinawatosheleza kwa yale wanayoyataka?

Na mara nyingi huwa ni nzuri utashangaa una Xiaomi yako mkononi haijawahi kukusumbua but ukipita kwenye vibanda vya mafundi simu utakuta wameweka sample za Samsung na iPhone mbovu.
Kati ya watumiaji wa simu 1000, tecno wapo 500, samsung 400, iphone 50 na hizo brand nyingine 50.

It's likely ukakuta Samsung, Tecno na Iphone nyingi kwa fundi kuliko hizo brand nyingine.

Sawa na ukute Toyota nyingi garage useme ni gari mbovu kwasababu hujakuta Bentley hata moja.
 
Mimi niliipenda Doogee y7plus lakini nina wasiwasi na frequency zake na zile zinazotumika hapa kwetu je inaweza kufanya kazi kwenye mitandao yetu kama tigo,airtrl. Voda n.k ? Au nso inakuwa sio compartible hapa kwetu? Mwenye kujua anijuze tafadhari
doogee ni simu nzuri kuna kaka yangu anayo x70 ipo poa tu mkuu mwaka 2012 nilikua natumia hoppo rafiki zangu walikua wananiambia ni simu feki leo hii wametambua ni simu og kuliko tecno zao
 
Wadau Naomben msaada wa kuseti 3G katika VIVO 5XMAx+ inasoma E tu wakati katika mode zake kuna had 4G
Nutashukuru sana
 
Back
Top Bottom