Ikiwa anatafuta sifa kwa kutufaidisha sisi wananchi tuliowengi waTanzania mimi namuunga mkono!
nawengine watafute sifa zinazofanana na hizo! saaaafi sana!
Hili nalo ni janga! Kilichobaki sasa ni kuwaambia wasiokubali waandike majina yao ili wafahamike na kisha waambiwe nyie ambao pesa hiyo haiwatoshi tumewashindwa! rudini kwenu
huyu mtu tumsaidie kwa kumueleza vyakula vya kutumia mfano juice ya limao, mboga za majani zilizopikwa sana (kula makapi), kunywa maji kwa wingi,
ulizia vyakula vinavyoongeza damu kwa kasi ili usivitumie!
vingine watakusaidia wenye fani zao!
usipojuwa ukweli unaweza pata shida pasipo kujuwa hivyohivyo, mie nijuavyo mala nyingi ni Benki ya NMB ambayo huwa wanachelewesha kupeeka ili watu wazichukie benki nyingine wahamie NMB. LAKINI JAMBO LA MSINGI IKIWA WEWE UNAINGIZIWA MSHAHARA WAKO TAREHE 15 YA MWEZI WAPILI SI UIFANYE NDIYO MWISHO...
Ndugu zangu siku ya leo na usiku huu nimetumiwa SMS ya kuwa
``Leo usikusaa 6:30 na saa 9:300 Miale ya Cosmo itaingia duniani kutoka sayari ya mars. Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni miale hatari. Chanzo cha habari ni NASA BBC NEWS Tafadhali wape taarifa...
Baba yetu uliye mbinguni asante kwa kunipatia uzima na afya asante kwa kunipatia kibari cha kufanya maombi haya! Nakushukuru kwakuwa wewe wanipenda sana pia unaipenda nchi yetu ya tanzania mungu tunakushukuru kwa neema uliyotujaaria katika taifa letu tunakushukuru kwa upendo wako wa ukweli...
katiba mpya izuie huduma kama vile matibabu na elimu kufanywa na watu binafsi ili kulinda viwango vya huduma katika nchi yetu visishuke, mfano elimu sasa inashuka kwa kasi kiasi cha mtu kuhitimu mafunzo ya chuo kikuu lakini watu wenyewe kielimu wakiwa bado wapo chini. mwaka uliopita kuna taasisi...
Ndugu zangu tumshukuru Mungu kwa kumpa ndugu yetu hiyo nafasi kwakuwa nasi tutaambuliapo sifa, kuhusu kuifanyia kitu Tanzania siyo lazima ajenge barabara ndiyo tujuwe kuwa kafanya kitu. yeye hakuwa kwenye nafasi ambayo angeweza kuonyesha kile ambacho alikusudia kutufanyia. Ingekuwa busala kama...
Siyo tu kulia Misibani bali hata kushangilia sana kwenye sherehe kama vile harusi, mahafali, sikukuu za kuzaliwa na nyinginezo. hii inatokana na wanawake kuwa na vionjo na hisia zaidi kuliko wanaume!.
Miembe hiyo inapatikana kuanzia Dar, Bagamoyo, Kibaha, Morogoro (SUA) na maeneo jirani, Mbeya na sehemu chache. ni miembe ya kawaida sana kwa sasa tatizo letu Habari za hayo hazienei kwa wadau.
majibu gani sasa unataka! je kukaa kimya siyo majibu?. hapo mtu mwenye akili anajuwa nini kinachoendelea!.
kumbuka ya kuwa hata hao watafiti walikunywa!, je kama dawa inasababisha watu wawe vichaa sijui watasemaje!
ukweli utabaki palepale, kuwa siyo kila uonekanapo Msalaba panafaa kufanyia ibada na kutolea sadaka. Mungu hawezi kujipinga mwenyewe!. Imeandikwa kuwa Mungu huangalia neno lake ili apate kulitimiza!. Pia Mungu anasema Kupitia Zaburi ya kuwa ameikuza ahadi yake kuliko neno lake. Mungu hawezi...
Nimekuja kufanya kazi kwakuwa neno la BWANA katika kitabu cha Isaya 35:1 linasema `Nyika na mahali palipo ukiwa patafurahi; jangwa litashangilia na kuchanua maua kama waridi.
Isaya 35:3 - 4 linasema `Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu, yafanyeni imara magoti yaliyo legea. Waambieni waliona moyo...
ubarikiwe kwa kutaka kuwajenga watu kiimani. wazo lako naliunga mkono kwakuwa ni jema sana, na litatusaidia kujuwa maandiko, na kumjuwa Mungu mwenyewe. kwakuwa imeandikwa kumcha Bwana ni chanzo cha marifa!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.