Nimefurahi sema kitu kimoja ambacho kaka zetu mnaharibu ni kuanzisha jambo na kuishia njiani kila siku humu watu anzia thread za kutusaidia then wanaishia njiani naumia sana aiseee pia ningekuomba tuwe na group la whatsap itapendeza pia kaka
PC yangu ina tatizo la baadhi ya software kama Dev c, Microsoft Point, Excel,Word nikifungua nikaanza kutumia kimfano kwenye Microsoft PowerPoint nikihitaji ku Insert picture inafail inatoka kabisa hata pale chini ai display ni kwa baadhi ya software ila software zingine kama adobe photoshop...
Habari ndugu zangu kwanza nipende kuwashukuru tangu natuma maombi ya chuo mlikuwa na mimi mdogo wenu kwa sasa nasoma ifm nachukua it mwaka wa kwanza napenda kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu maombi ya field kwetu mwanza napenda kupata ushauri wenu kwa sehemu kama mwanza niombe sehem zipi...
Mkuu nimekuelewa sana swali langu mbona apo kwenye tangazo ni hisa za wasafi TV means zipo na za wasafi radio ????? Na kama zipo apo ndio naamini diamond alivyo mjanja anaweza akawa na zaidi ya 50%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.