Gadaff ni wa ukweli sio kama WANAMAGAMBA WAKWETU HAWA WAMEBAKIA KUFUJA MALI ZA TAIFA KWA kuunda tume kibao za ovyo na kurudisha bungen watu wezi na hali nchi ipo gizan, njaa na matatizo kibao.
Singida inabidi mujivue sumu yenu haiwezekan kodi mnalipa halafu matangazo ya redio mnakatiwa ovyo ovyo na TBC ikifika 2015 mnanunuliwa na kanga za DEWJI wenu na kuambiwa mmejengewa kituo cha TBC halafu matangazo yake hafifu.
Redio TBC FM na TBC Taifa zinakata matangazo kila mara umeme ukikata kwa SINGIDA hivi niwaulize wana SINGIDA hao TBC WENU hawana majenereta mubadala? chakushangaza ni radio ya serikari, hivi kodi zenu zinafanya kazi gani?
Tanzania kutoa tani 300 za chakula kusaidia SOMALIA wakati wananchi wake wa MANYONI MASHARIKI wanakula PUMBA, JE hii nikujiosha mbele ya mataifa mengine ili kuonekana Tuna huruma? Chakushangaza mheshimiwa wa JIMBO HILI hajawahi kulizungumzia, naomben mtoe mawazo yenu tunaenda wapi na serikali hii?.
Jaman sikien na mtoe mawazo yenu, UDOM College of EDUCATION mwaka huu wamepunguza idadi ya udaili wa wanafunz wa degree kwa mwaka wa kwanza badala yake wameanzisha DIPLOMA Lengo nikomesha migomo, je hii njia sahihi ya kukomesha migomo UDOM Kwa kubana nafas kwa wanafunzi wanaojiunga na degree?.
Hivi spika/mwenyekiti wa bunge kuamuru MHESHIMIWA WENJE atolewe nje bungen jana na hali alikuwa akiihoji serikal kuhusiana na samaki wenye mionzi ya nyukilia kuingizwa nchin na wabunge wengine ambao vichwa vyao havifanyi kaz wakashangilia kitendo hicho,JE spika/m/kiti na hao wabunge...
Serikal kufukuza wanafunzi Udom ni suluhisho la kumaliza migomo? Chakusikitisha wazir waelimu alitangaza wanapewa field, kesho yake wakafukuzwa, Huu ni usanii ndani ya elimu au ni nini?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.