Search results

  1. K

    Matabaka ya watumishi

    Vigezo gani vinatumika kupanga mishahara ya watumishi wa umma? Kuna tofauti kubwa sana ya mishahara kati ya watumishi wa mashirika na taasisi za serikali na wale wa halmashauri au serikali kuu. Kuna mashirika mengine hata dereva tu anamzidi mshahara engineer, mwanasheria au daktari wa...
  2. K

    Naomba ufafanuzi taasisi ya elimu (Chuo) kutoa gawio kwa Serikali

    IFM ni chuo cha serikali ambapo mishahara yote ya watumishi inalipwa na serikali ila inakusanya ada kwa wanafunzi. Idadi ya wanafunzi kuanzia certificate hadi ngazi ya masters hawapungui 5000. Kila mwanafunzi akitoa ada ya milioni moja tu kwa mwaka nje ya hostel ni hela nyingi sana. toa matumizi...
  3. K

    Wakati watumishi wa Kisarawe walio ajiriwa kuanzia mwaka 2012 hawajawahi kupanda madaraja lakini Mbeya Jiji wamepanda wote hadi wa mwaka 2013.

    Kuna wilaya moja watu wana barua tangia2018 lakini mshahara haujabadilika hadi leo. Wakaamua kwenda wenyewe dodoma. Kila aliyeenda dodoma mshahara ulibadilika mwezi uliofuata na ambaye hakwenda hadi leo anasota na barua yake. Nenda Dodoma mkuu
  4. K

    Mwezi na wiki 3 sasa tangia niombe umeme TANESCO na ili umeme ufike kwangu nahitaji nguzo moja

    Mwezi na wiki 3 sasa tangia niombe umeme TANESCO na ili umeme ufike kwangu nahitaji nguzo moja. Muda unaenda na hakuna kinachoendelea. Wako wanaosema nitoe kitu kidogo ili niungiwe umeme ndani ya wiki 2. Je hicho kitu kidogo nimpe nani? Je nikitoa kitu kidogo kuna uhakika nitaungiwa umeme ndani...
  5. K

    Sekretarieti ya ajira mmekubali kuwa loop hole ya urasimu wa ajira?

    N Naomba kuzifahamu hizo big 4 proffessional firms kwa tanzania
  6. K

    Je itawezekana ?

    Ha Hapa sio private na government bali ni TAMISEMI na Mashirika ya umma.Mfano Mwanasheria wa halmashauri na mwanasheria wa TANROAD
  7. K

    Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa DSFA na wenyeviti wa bodi za TALIRI na GST.

    Hizi Hizi taasisi huwa zinatangaza wapi ajira zao ? Mbona sijawahi kuzisikia
  8. K

    Je itawezekana ?

    True
  9. K

    Je itawezekana ?

    Wataendelea kuhadaa watumishi hadi lini ?
  10. K

    Je itawezekana ?

    Hahaha ! Kwahiyo ni siasa tu
  11. K

    Je itawezekana ?

    Wiki mbili zilizopita waziri mkuu alikutana na bodi mpya ya mishahara na moja kati ya mambo ambayo bodi inayafanyia kazi ni mashirika na taasisi za umma kujipangia mishahara hali iliyopelekea kuwa na tofauti kubwa ya mishahara kati ya mashirika na watumishi wengine wa umma hasa TAMISEMI. Mfano...
  12. K

    Njia za wanawake kumtongoza mwanaume

    Ka Ukiona mmanyoya?
  13. K

    Elimu sio Siasa, Nyuma ya pazia Sekondari ya Mt. Francis Mbeya

    Iyun Iyunga ni shule ya bweni pia ilikuwa ya vipaji. Sasa njo kwenye hizi za kata za day form one 500 hapo hata mwalimu uwe mzuri vipi zero 300 haziepukiki
  14. K

    Walimu wanaofundisha shule za binafsi huwa wasoma pamoja na Walimu wanaofundisha shule za Serikali?

    Mimi naomba wachukue maprofesa wafundishe shule moja ya kata kama sample. Hiyo shule ikiingia kumi bora mimi nivuliwe nguo niwekwe posta pale kama maonyesho watu waniangalie
Back
Top Bottom