Vigezo gani vinatumika kupanga mishahara ya watumishi wa umma?
Kuna tofauti kubwa sana ya mishahara kati ya watumishi wa mashirika na taasisi za serikali na wale wa halmashauri au serikali kuu. Kuna mashirika mengine hata dereva tu anamzidi mshahara engineer, mwanasheria au daktari wa Halmashauri aliyekaa shule miaka 5.
Kwanini serikali inatengeneza matabaka kwa watumishi wake?
Kuna tofauti kubwa sana ya mishahara kati ya watumishi wa mashirika na taasisi za serikali na wale wa halmashauri au serikali kuu. Kuna mashirika mengine hata dereva tu anamzidi mshahara engineer, mwanasheria au daktari wa Halmashauri aliyekaa shule miaka 5.
Kwanini serikali inatengeneza matabaka kwa watumishi wake?