Morinho is a whiteman outside but his blood is African. Kaongea ukweli mtupu,Afcon hakuna penalty rahisi,ndio maana mashindano yamevutia sana.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kwa kifupi samadi ni muhimu kwenye shamba lolote uwe unapandia pamoja na mbolea za dukani ama laa! Japo km samadi ni nyingi naya kutosha hakuna haja ya kuongeza gharama za uzalishaji kwa kununua tena mbolea za viwandani.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kabla ya kulaumu ni vema ukajua majukumu mtu mwenye Phd yepi.Mtu mwenye Phd si mtu wa kuzalisha,huyu ni mtafiti na kazi yake kubwa ni kusafiri na kutembelea sehemu mbalimbali kuangalia nini, vipi na kwanini watu wanafanya halafu analinganisha na kutoa matokeo na kushauri nini kifanyike. Kazi ya...
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje kama mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?
Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate. Nilipomfuata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio...
Matokeo ya kidato cha nne yaliyotolewa hivi karibuni yanaonyesha ufaulu kupanda sana. Hadi somo la hesabu nalo grafu yake imepanda sana.
Je, ndio tuseme mwaka huu watoto wamesoma sana na kuelewa vizuri?
Sina hakika na hilo, lakini nakukumbusha tu Mtanzania mwenzangu huu ni mwaka wa uchaguzi...
Kweli tumuombee ulaya beki au kipa kununuliwa ni ngumu sana. Japo hata hizi fununu zitosha kuonyesha kuwa ni mchezaji mzuri.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Nimefatilia vizuri mashindano ya AFCON yanayoendelea kule Ivory cost, nikagundua kama huna wachezaji ambao wako fiti kwa maana ya nguvu, utimamu wa mwili,wenye maumbo makubwa na waonajituma ni ngumu kushinda mechi. Lazima uwe na wachezaji ambao wako fiti kweli kweli na wenye "spirit" ya...
Changamoto nilizokumbana nazo hadi sasa.
1.Wadudu( Viwavi vamizi). Dawa nilizotumia Duduba,Wilcrom,Master. Zote zimefanya vizuru. Gharama kichupa cha mils100 ni 5000 na 10,000/= kwa Master.
Nb. Dawa za kuthibiti hawa wadudu ni nyingi inategemea hapo ulipo zipi zilizopo.
2.Mchwa kutafuna...
Wakuu natoa mrejesho km kawaida. Hapa ndipo yalipofikia mahindi,nilipandia samadi tu bila mbolea yoyote. Wiki ijayo naweka mbolea ya CAN shughuli inakua imeisha. Picha ya kwanza ni jinsi mahindi yalivyokuwa wiki ya pili toka kuota. Na hizo picha zingine ndo yalivyo sasa.Mungu ni mwema
Sent from...
Kulingana na injili aliyoifundisha Yesu Kristo kupigana vita ya kimwili huo sio Ukristo. Mkristo wa kweli hata km anaonewa kiasi gani solution ni maombi. Ukiona mtu anakimbilia mtutu wa bunduki aafu anajiita mkristo basi anajidanganya mwenyewe,ila mbinguni wala Mungu hamtambui.
Sent from my...
DK 777.Hii mbegu ina punje ndogo hivyo unaweza panda eneo kubwa. Kwahiyo km bajeti inabana inakupunguzia gharama. Kwenye ekari moja badala ya kutumia vifuko 5 unaweza tumia vifuko 4.
Inazaa mahindi mawili mawili.Huchukua muda wa wastani kukomaa miezi 3.5 hadi 4 kutegemea na ukanda. Licha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.