Habari za uzima ndugu zangu,
Niende moja kwa moja kwenye mada husika kiukweli (cryptocurrency) pesa za mitandaoni kama sijakosea ndio suala linalokuja juu sana japo katika nchi yetu hawajaweka mikakati mizuri (watawala) hivyo basi ningependa kuwaalika nyote mnaovutiwa na haya mambo tuyajenge...
Habari za uzima wana Jamii wenzangu,
Naomba kufahamu namna ya uwaandishi wa Cv (Curriculum Vitae) hasa kuhusisha projects mbali mbali nilizofanya na company tofauti tofauti je, ni sahihi kuandika project zote nilizofanya katika CV yangu?
Na hofu ya kutengeneza kitabu ambacho kinaweza kikiawa...
Habari za uzima wapendwa natumai ni wazima wa Afya
Rejea mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwa ajili ya kusex tuu no serious relationship maana nipo busy kutafuta pesa na sitaki mwanamke anaejiuza nataka ambaye nae yupo busy na mambo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.