Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 55
- 23
Habari za uzima wana familia ya JF wenzangu,
Naomba ushauri juu ya hili sidhani kama napendwa kweli hapa bali nachunwa tu. Nimepita katika mahusiano mawili ya wanawake wa aina moja kwa kufuatana yaani mwanamke wa kwanza kipindi nipo naye katika mahusiano alikua hataki kabisa nimushike wala kumsogelea, kufanya mapenzi ndio usiseme hataki kusikia ila alikua anadai ananipenda maana kila alichotaka nilimpa.
Nikapiga chini nikapata mwingine tena baada ya kuachana na yule wa kwanza but mambo ni yale yale hakuna utofauti mtashinda naye but ukitaka kufanya chochote hataki na kingine naona kama ana mtu mwingine pembeni nipo mbioni kumuacha
Naomba ushauri kwenu maana nahisi labda kuna vitu nakosea nakua rush may be
Naomba ushauri juu ya hili sidhani kama napendwa kweli hapa bali nachunwa tu. Nimepita katika mahusiano mawili ya wanawake wa aina moja kwa kufuatana yaani mwanamke wa kwanza kipindi nipo naye katika mahusiano alikua hataki kabisa nimushike wala kumsogelea, kufanya mapenzi ndio usiseme hataki kusikia ila alikua anadai ananipenda maana kila alichotaka nilimpa.
Nikapiga chini nikapata mwingine tena baada ya kuachana na yule wa kwanza but mambo ni yale yale hakuna utofauti mtashinda naye but ukitaka kufanya chochote hataki na kingine naona kama ana mtu mwingine pembeni nipo mbioni kumuacha
Naomba ushauri kwenu maana nahisi labda kuna vitu nakosea nakua rush may be