Search results

  1. che-guavara

    NSSF yaelekea kufilisika

    tuibane SSRA na sera zao mbaya, miaka 55 au 60 kutakuwa na chama kingine na serikali nyingine, wanataka kutuibia na kupotea mapema.. asikubali mtu kuibiwa tukikubali tu tutaachiwa mashimo matupu pesa yote itakombwa..jino kwa jino hakuna mambo ya chukua chako mapema hapa....tumeelewana?
  2. che-guavara

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    ccm inaona inataka kutoka madarakani inaandaa mpango wa kuachia madema serikali mpya... miaka 55 au 60 unafikiri bado tutakuwa tutakuwa tunaongelea mambo haya ya hii CCM. hii ni janja yao tu.
  3. che-guavara

    Waliotegemea malipo ya uzeeni ujanani sasa tena basi! Ufafanuzi kutoka Mamlaka - SSRA

    matatizo yetu wabongo tutasahau kila kitu ndo watu watafanya kila kitu, tujiandae kuwa na sheria ya kurudisha utumwa, ufisadi, wizi, unyang'anyi...n.k huu ni mwanzo mungu atuepushe tunapoelekea kuna siku tutaamka hakuna ataeweza kufungua mlango wake.. hawa watu si wazuri tena..wanatumikia...
  4. che-guavara

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Ukimbuka nyuma kidogo, sheria za pension (wakati huo zikiwa tofauti) zilifanyiwa mabadiliko kwa kupunguza umri wa kustahili pension kutoka 45 hadi 55 na 60 kwa lazima, hii yote kuhakikisha mifuko inakaa na pesa za wachangiaji muda mrefu, hivyo ni mwendelezo tu wa mambo, mwisho itapitishwa sheria...
  5. che-guavara

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    hapa ssra ilitakiwa kuzuia serikali kukopa kutoka kwenye mifuko na mafisadi wasikope huko, kuliko kulizunguka tatizo kwa kuondoa mafao ya kujitoa, ikumbukwe pamoja na sheria za pension, bado kwa upande wa haki za binadam pesa hizo zimetafutwa na kuwekwa na wafanyakazi kutoka kwenye jasho lao...
  6. che-guavara

    ATM za UmojaSwitch

    discussion hii nzuri, ANGALIZO wana jf msije kujadiliana kuhusu PIN hiyo nenda personally kwenye tawi lako. Mgeni hufanya vizuri kuja lakini hukaribishwa sebuleni tu.
  7. che-guavara

    Kigamboni planning authority

    Isije ikawa mambo ya airport wananchi wanaamishwa baada ya miaka 30 fidia ya zamani.WANANCHI harakisheni kupitia kura zenu 2015.la sivyo mtauzwa mpaka wenyewe.
  8. che-guavara

    Naombeni msaada juu ya hili pls

    organization ambayo ni charity lazima isajiliwe na msajili wa vyama vya hiari, ubainishe madhumuni yake (yasiwe biashara) kama biashara uanzie msajili wa makampuni.pili iwe na ofisi inayotambulika na majukumu yasipingana na sheria au taratibu za jamhurithanks
  9. che-guavara

    Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

    Semi haiwezi kuleta dola hizo labda ibebe dhahabu.usibishe tu.
  10. che-guavara

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    Mhhi.magari yote yanakuwa cleared bandarini.ina maana wana mpaka viwanda nje.wabongo IMETOSHA tuanze kuishi na Akili zetu.tumekua na external drivers miaka mingi, we dont even sleep with our brain.
  11. che-guavara

    Bingwa wa kukosea

    Mfupa hauna ulimi nilisema barabara ya ocean road karibu na daraja la salenda bridge tasafali plz!
  12. che-guavara

    Usifungue thread hii utani huu siyo

    Watu wanapenda kinachokatazwa mfano.usigonge madem,usikojoe hapa,usipokee rushwa,n.k sasa ulitakiwa useme "lazima ubofye hii uzi"ili iwe vice versa. Watu walikimbilia kuona tsunami,mabomu,tenki la mafuta lilopasuka,n.k
  13. che-guavara

    Kwa wahasibu wetu: Nyumba ni 'Asset' au 'Liability'?

    Uhasibu ni mizania unapokopa una create asset au nyumba na liability au deni. Unapotoa pesa una create matumizi kama electricity au unapunguza deni au unanunua asset nyingine.hivyo nyumba ni asset.hivyo basi from double entry point mambo huja mawili mawili ie to every debit there is...
  14. che-guavara

    Sasa Lowassa hakamatiki: Waraka kwa Jakaya Kikwete!

    Mi nafikiri mada hii ilifaa kwenye kura za maoni ndani ya chama. Rais wa wananchi 2015 ni DK SLAA iyo mbona mjadala ulishaisha au wanagombea uraisi wa kongo sielewi hii mada
  15. che-guavara

    Sasa Lowassa hakamatiki: Waraka kwa Jakaya Kikwete!

    Mi nafikiri mada hii ilifaa kwenye kura za maoni ndani ya chama. Rais wa wananchi 2015 ni DK SLAA iyo mbona mjadala ulishaisha au wanagombea uraisi wa kongo sielewi hii mada
  16. che-guavara

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    mi kero yangu ni kuhusu wakazi wa kigamboni kilometa 15,000 watahama.muishinikize serikali ipange sehemu nyingine kwa sababu tanzania ina maeneo mengi ya wazi zaidi ya km 15,000. mfano chanika, morogoro n.k. na tatizo watahamishwa baada ya kutungwa sheria mpya...ni kwenye mchakato wa katiba...
  17. che-guavara

    cheka unenepe

    "ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping. uliwaza nini sasa??" Mi kwa kweli niliwazia hili duka lipo mtaa gani? dahh... inachekesha......
  18. che-guavara

    Tanzania employment services agency (TaESA)

    hiyo kitu ni real.ila tu uwe na elimu at advanced na bachelor nafasi huwa ni kubwa, hamna ubabaishaji wowote.upeleke tu mkuu
  19. che-guavara

    Mwamko wa Biashara kwa watanzania ni tatizo nini kifanyike?

    Mikopo ni mizuri lakini pia ni kitanzi ambacho hata nchi zilizoendelea wanajutia. Taasisi za pesa ni biashara na wala si huduma, na matokeo yake foreclosure zinawachanganya watu akili zao na kukata tamaa ya maisha. Binafsi nisingependelea huu utaratibu wa mikopo vinginevyo umejiamini na biashara...
  20. che-guavara

    Mwamko wa Biashara kwa watanzania ni tatizo nini kifanyike?

    Mimi na hoja zote.kama ni hivyo basi mi naona sehemu ya kuanzia ni kwenye mfumo wa elimu.kwa sababu tulibadili mfumo basi swala hili liingizwe kwenye mitaala yetu.
Back
Top Bottom