Moja kwa moja kwenye kero yangu. Kumekuwa na mtindo wa askari wa usalama barabarani kusimamisha gari hata kama huna kosa halafu wanainakiri namba ya gari na kuiandikia fine. Binafsi nimekumbana na hali hii mara mbili sasa.
Mara ya Kwanza nilisimamishwa na askari kama kawaida akaomba leseni...
Huu ni msimu wa nane Simba na Yanga hakuna anayeibuka na ushindi duru ya Kwanza tangu msimu tajwa. Pengine Msimu huu mwiko huo unaweza kuvunjwa wacha tusubiri hiyo Jumapili ya Novemba 5 kama kuna timu itaibuka na ushindi. Mara zote mechi hiyo huisha kwa sare ama suluhu hata kama timu mojawapo...
Kuni zinaendelea kuchochewa kwenye huu mkataba! Hivi ni lazima sana DP world waje? Hata kama una maslahi rais wangu mpendwa hebu achana nao ili kuleta utengamano wa kitaifa. Kwa sasa mkataba huu unapasua kwa kasi mshikamano wetu
Nakumbuka miaka hiyo naenda shule pale stendi ya makambako ya zamani nikiwa na begi wakaja rundo la hao jamaa wakaanza kung'ang'aniana begi langu. Hawakujua nimeambatana na baba yangu tena mjeda akiwa amevaa gwanda kabisa. Alimtandika buti moja mmojawapo alipindukia kwenye mtalo. Aiseee wenzake...
Kisaikolojia wanaambiwa wanapigania nchi lakini kiuhalisia na kwa ajili ya masilahi ya wanasiasa. Tazama vita kama vya pale kongo, Sudan au hata kule Syria utaona wote ni kwa ajili ya mtu fulani au kikundi cha watu na sio nchi.
Siku hizi mei mosi imebaki kama ceremonial day tu hakuna jipya. Mei mosi iliyokuwa worse zaidi ni ile iliyofanyika iringa jpm akiwa mgeni rasmi. Mama akapigilia msumari kwa kutoa ahadi hewa ile ndiyo ilimaliza kabisa matumaini ya wafanyakazi mei mosi
Nimeileta hili ili nisaidiwe kupata ufafanuzi zaidi maana najua hapa kuna wajuzi wa mambo kwa nyanja mbalimbali. Suala langu ni kuhusiana na utofauti wa saa kati ya eneo moja na lingine.
Naomba nitumie kati ya muda wa Afrika mashariki ambao upo katika longtudo nyuzi 45 mashariki mwa Greenwich...
Muda mwingine ficha aibu basi. Sifa za kijinga hazina msaada kwake hata kwa nchi. Rais kachaguliwa ili kuiongoza Tanzania vema ikiwa ni pamoja na kulinda rasilimali za nchi, kusimamia maendeleo ya wananchi, nk. Yote hayo rais hajafikia hata robo kwa utendaji lakini misifa utadhani Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.