Nimeileta hili ili nisaidiwe kupata ufafanuzi zaidi maana najua hapa kuna wajuzi wa mambo kwa nyanja mbalimbali. Suala langu ni kuhusiana na utofauti wa saa kati ya eneo moja na lingine.
Naomba nitumie kati ya muda wa Afrika mashariki ambao upo katika longtudo nyuzi 45 mashariki mwa Greenwich.
Kuanzia mwezi Aprili hadi Oktoba kila mwaka tunakuwa na tofauti ya saa 2 kati yetu na GMT ambapo sisi tunakuwa mbele. Lakini kuanzia mwezi Oktoba hadi Machi tunakuwa mbele kwa saa 3.
Katika soma soma yangu ya somo la Jiografia tangu shule ya msingi hadi sekondari sijawahi kusoma kuhusu hiki zaidi ya kufundishwa tu namna ya kutafuta muda.
Sasa nauliza ni nini kinasababisha utofauti huu wa muda fulani tunakuwa mbele kwa saa 2 na mwingine kwa saa 3?
Naomba nitumie kati ya muda wa Afrika mashariki ambao upo katika longtudo nyuzi 45 mashariki mwa Greenwich.
Kuanzia mwezi Aprili hadi Oktoba kila mwaka tunakuwa na tofauti ya saa 2 kati yetu na GMT ambapo sisi tunakuwa mbele. Lakini kuanzia mwezi Oktoba hadi Machi tunakuwa mbele kwa saa 3.
Katika soma soma yangu ya somo la Jiografia tangu shule ya msingi hadi sekondari sijawahi kusoma kuhusu hiki zaidi ya kufundishwa tu namna ya kutafuta muda.
Sasa nauliza ni nini kinasababisha utofauti huu wa muda fulani tunakuwa mbele kwa saa 2 na mwingine kwa saa 3?