Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Kwahiyo BAED hawezi kufundisha Chuo?? Kama anaweza anaomba kwa kupitia njia zipi??
Kwa mshahara huu achana na kazi ya ualimu labda kama unapenda kuitwa mwalimu hilo sawa .460,000/ ndio zinabaki
WaAnazidiwa na housegirl wanaofanya kazi za ndani uarabuniSijaona ukweli mpaka Sasa......ulizeni walimu watawaambia ukweli!
Siku hizi mwl wa degree science anavuta 805000 hapo bila makato na ndo kaanza kazi ila wa art anavuta 700k na ushee hukoo .....so msiwadis kama hamjui ukweli.......
Wewe unamzidi huyo House girl?WaAnazidiwa na housegirl wanaofanya kazi za ndani uarabuni
Walimu ni Choo cha publicKwa mshahara huu achana na kazi ya ualimu labda kama unapenda kuitwa mwalimu hilo sawa .
Hauongezeki.Hivi kwa mkufunzi akiwa na master degree mshahara unaongezeka au nako kama local government tu master degree haina mshahara?
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kwa wahadhiri,Unaogezeka kadri elimu inavyoongezeka,hakuna mahali pa kisenge kwenye ajira za serikali kama halmashauri.
Hiyo ni kwa wahadhiri,
Sio wakufunzi.
Wakufunzi ni wale wafundishao ngazi ya cheti na diploma,Tofauti yao ni nini hasa
Kwahyo wakufunzi hata ukiwa na master degree wao watakulipa kwa ngazi ya degree tuu?Wakufunzi ni wale wafundishao ngazi ya cheti na diploma,
Wahadhiri ni wale wafundishao kuanzia ngazi ya digrii.
Ndio,Kwahyo wakufunzi hata ukiwa na master degree wao watakulipa kwa ngazi ya degree tuu?
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Pia vigezo vya kuhamia kufundisha vyuo hvyo mfano vyuo vya ualimu TTC wanaangalia kiwango cha GPA? Mfano 3.0 au ni 3.5 and above..?Ndio,
Kuna kiwango cha mshahara Cha kuanzia kwa ngazi ya ukufunzi.
Hivyo mwenye Bachelor na Master wakiajiriwa pamoja kama wakufunzi,
Wote hulipwa kiwango hichohicho cha kuanzia,
Ile Master huwa ni added advantage tu kwa mkufunzi kama vile kupata vyeo na kazi za hapa na pale ndani ya taasisi, ila haihusiki kwenye nyongeza ya mshahara.
Sijui kuhusu vyuo vya TTC,Pia vigezo vya kuhamia kufundisha vyuo hvyo mfano vyuo vya ualimu TTC wanaangalia kiwango cha GPA? Mfano 3.0 au ni 3.5 and above..?
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Hakuna mshahara WA degree yoyote WA hivyo,huo ni équivalent na WA certificateHamna tofauti mshahara ni ule ule 589,000/=,
Inabaki kama laki nne na themann iv bhana
Hakuna mshahara WA degree yoyote WA hivyo huo ni équivalent na WA certificateivi apo ukitoa makato yote, take home inabakia ngapi?..
Hakuna mwalimu WA degree anaeanza na hyo acha upotoshaji,degree ni 756000 kwasasa hyo 589000 ni diplômeacha kudanganya watu. mkufunzi wa chuo cha ualimu kwa degree anaanza na 769000 bila makato wakati mwl wa degree anaanza na 589000
Ni uongo,huo ni mshahara WA certificateKwa mshahara huu achana na kazi ya ualimu labda kama unapenda kuitwa mwalimu hilo sawa .
Naam Hawa hawajui chochoteSijaona ukweli mpaka Sasa......ulizeni walimu watawaambia ukweli!
Siku hizi mwl wa degree science anavuta 805000 hapo bila makato na ndo kaanza kazi ila wa art anavuta 700k na ushee hukoo .....so msiwadis kama hamjui ukweli.......