Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa.
Habarini wana jf humu ndani,jamani ningeomba msaada kwa anayejua njia rahic ya kupata hicho kitambulisho maana Nina shida natakiwa niende nchi flan na uhamiaji wameniambia siez pata passport mpaka hicho kitambulisho nimehangaika huko nida lakini mpaka sasa nikupigwatuu tarehe,nisaidieni kwa...
Jamani mwenzeni nimechoka bongo joto Kali hivyo natamani sana ningepata kazi hata za ndani nnje ya nchi ila zisiwe yuu nchi za kiarabu,anayeweza kuniunganisha msaada pls,pia iwe uhakika nikazi za ndani sio kupelekwa huko na kuuzwa kufanyishwa biashara za haramu
Kuwa makini sana na hawa watu wanaojiita Focus bikoba,ni matapeli sana na wanatoa matangazo kuwa wanakopesha ukiwafatilia wanakudanganya unatuma hela ili wakusajili alafu wanakugeuka,watu wengi aana wametapeliwa hata mimi wamenitapeli inasikitisha hali ya sasa ilivyo ngum halafu MTU achukue hela...
Habari,jamani utapeli umeziidi kuna watu wanajiita Focus vikoba hawa watu in matapeli zaidi ya tapeli wanatangaza kuwa wana toa mikopo online uki apply wanakuambia utume majina yako halafu na hela ya account ukitima wanakuambia ongeza tena wanakusumbua mwishoni unachoka na wanatumia jina la...
Habari wana jamii,
Mimi ni mdada mwenye miaka 32, nimechoka na kazi za kuajiriwa nimefikiria nifanye kitu gani nikapata wazo la kufungua cosmetics shop lakini sina idea yeyote, kwahiyo naomba kwa mzoefu anisaidie kiasi cha mtaji cha chini ninachopaswa kuanzia,napia anisaidie nivitu gani ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.