Yeeeh jamn ex ni Ex tuu. Hakuna sababu yakupasha makabichii .
People change,grow, n move On. Hao Ex zako Kuna mahali wamekwama kifikira, kihisia na kimtazamo pia.
P2 sio uzazi wa mpango Ni emergency levonorgestrel.... Kwahiyo usifikiri inasaidia nyakati zotee....na Kama mtumiaji ameitumia kwa muda mrefu sana..mwili ..unazoea..so hufanya kazi kwa. ..tabu.
Na sio watu wote humeza na ikamsaidia..maana nimeona kwa watu kadhaa walimeza within 72hrs na wakawa...
Hahhaha nadhani mwanaume bila kuhonga hajakamilika...[emoji3][emoji3] Utakamata je kuku pasipo kumrushia mahindi!?[emoji849] Mchele kidogo..nk
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.