Kwa sasa nafasi ya rushwa katika uchaguzi ndani ya CCM itakuwa finyu. So Wasomali kwa Mkoa wa Tabora imekula kwao. Bila kumkata Bashe Lowasa ataisumbua Serikali.
Baada ya Mtia nia Lowasa kukatwa katika harakati zake za kugombea urais wa JMT sasa ni zamu ya wapambe wake wakubwa kukatwa na hasa Hussein Bashe ambaye inasemekana atagombea jimbo mojawapo Mkoani Tabora!
Wadau wajuzi wa sheria, naombeni mnisaidie juu la uwepo wa sheria ya hotel levy namba 23 ya mwaka 1972 ambayo inaelekeza mmiliki wa nyumba ya kulala wageni (guest house) kulipa 20% ya mapato yake ghafi ya malazi kwa halmashauri. Nimejitahidi kuitafuta kwenye orodha ya sheria ambazo zilifanyiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.