Nimepata taarifa miaka kadhaa ya nyuma DIT ilikua inatoa hii course. Naomba kujua kwa upana kidogo inahusika na vitu gani? Kwa wenye taarifa au utaalamu wa hii course pia ajira zake ziko vipi
Guys nilifanya factory reset ya cm yang camon cx lakini baada ya apo instagram, YouTube na watsap zmeacha kutoa saut japokuwa ukiweka earphone saut inasikika na calls za kawaida pia saut inasikia, mwenye utaalamu wake apa anisaidie nifanyaje
kwa mwaka huu wa 2016/2017 Kuna series Kali za kikolea zimetoka mpaka sasa nmeona drama zifuatazo:: legend of blue sea, suspicious partner, missing nine, the Rebel, moon lovers, fight my way na my sassy girl na napenda zaid kujua wenzang wanaopenda hizi series za kikorea je ni series gan...
sio member mpya lakn kwakua nmejiunga tena kwa mala ya pili kwa kutumia username nyingine baada ya kutotumia JF kwa Muda zaid ya miaka miwil bac mm ni mgeni nategemea kushilikiana nanyi katka kla thread ntayoiyona inawezekana kuichangia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.