Cheka alihojiwa juzi tbc1 mchana akasema hatapigana na akawaasa waDanganyika kutofika huko kwa ajili ya pambano lake. Cha ajabu serikali ilivyo na vyombo vyao walivyo wapuuzi baada tu ya ile taarifa ya habari matangazo ya pambano la Cheka yakaendelea kama kawaida. Nashindwa kuelewa umakini wa...
Clouds Tv na Channel 5 si sehemu sahihi ya kuchomoa na kujiaminisha kwa hizi taarifa. Kama vyanzo ni hivyo, mie bado nasubiri kuskia, siamini vyanzo vyenu. Hao saizi yao ni Wema Sepetu na Lulu, huku kwingine sio levo zao
Salaam Wadau!
Hivi jamani wapi naweza kupata daktari bingwa wa magonjwa ya ngozi hapa jijini Dsm? Nimezunguka Ocean Road na Hindu Mandal ila naona wote fix tu. kwanza hawajajaribu kufanya vipimo vyovyote juu ya ugonjwa wangu, wao wanapima kwa macho na kunipa madawa hayohayo kila siku ila kwa...
Kweli wewe Pepo, mawazo yako yanafanana na jina lako!! Kama huna heshima kwa Jmo ktk mzk huu wa Tz basi huna tofauti na Rais wako asiyemjua mmiliki wa Dowans.
Acha azomewe. Kama alitaka kumpongeza si angempigia simu ampe hongera zake. Aliungana na Clouds eeh? fiesta ilikua jukwaa la wanafiki wa Radio ya Wafu (Namnukuu Mh. Sugu). Huyo si ndo alikua analalamika kifungo cha kina Seya waliofungwa kpnd cha utawala wa Vasco Da Gama, sasa leo hii kakumbuka...
JMoo ndo jengo gani? Mi nnavyojua JMoo ni jina la msanii wa HipHop Tanzania. Hilo jengo ni J. Mall. Usichanganye Tui na Maziwa siku nyingine.
Asante kwa kunielewa.
Hata ningem'direct Msumbiji pia ungeuliza. Open kwa sababu ni nje ya wilaya yake, na Muslim Morogoro kwa sababu ni nje ya mkoa wake. Unless afunguke na kusema ni nje ipi anamaanisha yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.