Vipi kuhusu kupaki gari bila kuzima na mshale wa temperature unapanda H ila ukiondoa mshale unarudi normal,hii inatokea nikipaki mlimani je ni tatizo au kawaida? geranteeh
TANESCO habari za usiku huu! Mimi niwapongeze sana kwa Kazi nzuri ya kukata umeme kila siku Mkuyuni Mwanza,kwa kweli hapo nawasifu hamfanyi makosa kabisa kama leo tokea saa 06:00Hrs mpaka saivi haujarudi,,mimi nasema chapeni Kazi acheni tulale kiza na tuamke kiza maana ndio furaha yenu. Usiku mwema
Fanyieni Kazi kweli,hii habari yw umeme leo upo kesho haupo iishe kama leo Mkuyuni tumeshinda umeme hakuna,umeme umerudi saa 1 kesho umeme utakuwepo lakini keshokutwa hauta kuwepo,mtuambie shida ni nini
Habari za usiku! Hapa kijijini huwaga kuna nguzo moja inayosumbua sana na ni miaka mingi mno kwa nini isibadilishwe ikawekwa mpya? Ukiangalia hata nyaya zake hazijakaa katika utaratibu mzuri,tanesco tunaomba mtubadiliahie,Ipo mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Hai kijiji cha lyamungo kati
Kwa nini mmekata umeme Mkuyuni mwanza jamani? Mcahan mlikata na usiku huu tena sasa tatizo ni nini? Mbona tuna haribiana siku hivyo? Rudisheni tafadhali nawaomba
Heee kwa hiyo maisha yatakua haya mpaka mwisho wa dunia maski mwanzo.mwisho,hakuna shule wala nini,,yani maisha kama ya 2019 BC(Before Corona) hayatakuwepo tena?
Naunga mkono hoja aisee viboko ndo dawa mausia waachie wazungu me mwenyewe wakwangu nikija kupata vimbo ni moja ya lifestyle yake na yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.