Series inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote.
Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi kuacha sehemu yoyote wazi kwenye nyumba yako. Mzigo una seasons 02 ambazo ni complete.
Cha zaidi...
Nimepakua series inaitwa Wu Tang Clan mpaka sasa nipo S02 ni kali mno kama ni mpenzi wa hizo mbanga hii si yakuacha kabisa.
So naomba kama kuna series inayofanana maudhui kama ya hii Wu Tang naomba share jina tuburudike.
Cristiano Ronaldo amejiunga Man United akitokea Juventus ya Italia kwa mkataba wa miaka miwili,mimi kama shabiki wa Man United nimefurahi mno ukizingatia Cr7 ndo alisababisha mimi kuanza kufatilia football.japo umri umemtupa mkono ila tunatarajia mengi mazuri kutoka kwake.
Naona simu yangu inastuck kila muda nilidowload baadhi ya antivirus ila zilikua na ads kama zote pop-up kila muda na maapplication mengii MSAADA [emoji22][emoji22][emoji22]
Juventus wametangaza tickets za msimu ujao zote zimenunuliwa (SOLD OUT) kufuatia kutua kwa Cristiano ronaldo klabuni hapo licha ya bei za tickets kupanda kwa asilimia 37% lakini zimemalizika ndani ya wiki moja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.