Nilikua napitia video katika mtandao wa 'YouTube'
Nikaingia kwenye Channel ya 'SimuliziNaSauti'
Nilikutana na video ya kusikitisha sana, Raia wa Turkana wanakufa na njaa.
Serikali ya Kenya angalieni namna ya kuwasaidia hawa Wananchi wenu.
'Link' ya video hii hapa chini
Sent using Jamii Forums...
March 23 mwaka 1994 tabibu mkaguzi(medical examiner) anauchunguza mwili wa marehemu Ronald Opus na kufikia maamuzi kua Ronald Opus alikufa kwa kupigwa risasi kichwani, Hii inatokana na jeraha kubwa la risasi kichwani alilokutwa nalo marehemu Ronald Opus...Hapa ndipo tabibu mkaguzi pamoja na...
Mwanafunzi Mtanzania anayetokea Mkoani Mwanza anyesoma chini, Amefanikiwa kuandika historia mpya katika mchezo wa 'kickboxing' kwa kumpiga kwa 'knockout' mpinzani wake raia wa China
Angalia video hii hapa chini akiwa anamtambazia kichapo kizito Mchina huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'
ANGALIA BAADHI YA VIPANDE VYA PAMBANO HILO HAPA
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28.
Nina Elimu ya Diploma na nipo kwenye ajira.
Najitokeza humu kutafuta Mwanamke ambae nataka awe mke wangu.
Awe na sifa zifuatazo, Mweupe, urefu wa wastani tu, Elimu yeyote tu, Asiwe mnene wala mwembamba sana, Dini awe Muislam, Kabila lolote tu...
Habari Wakuu, Natafuta mashine ya simu aina ya LG Nexus 5X, Iwe nzima au nauza kioo full cha hiyo simu pamoja na betri yake.
Nitashukuru iwapo nitapata. Mawasilaiano yangu ni kwa namba 0717540261.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.