Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha baba yangu anasumbuliwa na huo uvimbe, umekua ukimdhoofisha afya yake, tumejaribu mara kadhaa kumpeleka hospital lakini matibabu anayopewa yameshindwa kumponyesha, kwa maelezo yake anasema linavuta kwa ndani kama mtu aliyekulenga na mshale wa sindano...
Nathan hapa tafsir ya "kipaji" haiajakaa sawa, sidhan kama kuwa na uwezo mkubwa kiakili ni kipaji, kwa wengi tunaonaga kinachooanza kwanza ni kipaji halafu elimu ndo inasaidia kukipa thaman hicho kipaji, kwa hiyo kuziita hiz shule "vipaji" i think sio sawa, alafu wadau wa elimu wamefichwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.