Tunatoa Huduma Za Graphics Designing Kama Uandaaji wa Logo, Business Card, Brochures, Flyers, Banners, Music covers, Book covers, ID cards, Product labels... Bei safiiii
Contacts:
Call: +255652952O18
Whatsapp: +255652952O18
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada anataka kufanya Biashara,naweza kumchukulia 1m kwenye kicoba. Lakini Marejesho ni baada ya miezi 3. Je afanye biashara gani ambayo at least ataweza kulipa marejesho. Wale wa mizaha bora uishie kusoma tu .... Naomba mawazo Mazuri.
Ushauli wangu kasome TAX sababu Kwa Tanzania no Vyuo viwili tu ambavyo vinatoa hii course, alafu hiyo BBA mpaka Hivi vyuo vya uchocholoni vinatoa naamini itakusumbua kwenye ushindani Wa Ajira. Kuhusu kujiajiri asikudanganye MTU ata Taxation unaweza kujiajiri I believe tho. IFM is the best
Nimeajiriwa Taasisi ya Mtu Binafsi, nimefanya Application ya Bacherol of Insurance and Risk Management pale IFM Kwa Mwaka Wa Masomo 2017/2018 I means first year. Nahitaji kujua kama Chuo kina Masomo ya Jioni ( Evening Class ) Kwa Level ya Degree .!??!
Ndugu zangu wale waliochaguliwa IFM bachelor of taxation and management tukutane hapa tupeane updates and other information kuhusu chuo, kozi na mambo mengine ya maendeleo... Asanteni!!
M kuna vitu sivielewi kabisa... Selection ya IFM ilitoka ikaniandikia niconferm nipo kwenye multiple.. Lakin vyuo vingine vilipotoa Matokeo sikuwepo popote pale nikaamua Kuconferm tu IFM kwenye Online application mana ndo nilipofanyia. Leo naingia kwenye website yao wametoa watu waliokuwa...
Nimechaguliwa IFM Kwny Multiple lakin nikasubili vyuo vingine nione kama Nimechaguliwa kweli Mara Mbili.. Lakin vyuo vyote nilivyoomba vimetoa matokeo sijajiona zaidi ya IFM. Inakuaje Hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.