WAZO LA BIASHARA

SaraJr088

Member
Jul 9, 2017
37
39
Dada anataka kufanya Biashara,naweza kumchukulia 1m kwenye kicoba. Lakini Marejesho ni baada ya miezi 3. Je afanye biashara gani ambayo at least ataweza kulipa marejesho. Wale wa mizaha bora uishie kusoma tu .... Naomba mawazo Mazuri.
 
Nadhani tigopesa, Mpesa Kwa kuanzia sio mbaya, tatizo ni huo Muda wa kurejesha!
 
Dada anataka kufanya Biashara,naweza kumchukulia 1m kwenye kicoba. Lakini Marejesho ni baada ya miezi 3. Je afanye biashara gani ambayo at least ataweza kulipa marejesho. Wale wa mizaha bora uishie kusoma tu .... Naomba mawazo Mazuri.
Mpe idea ya kuuza
Cosmetics
Kwa kuanzia
1mil itamtosha
Aweke
body sprays
Lotion
Mafuta ya nywele
Dawa za nywele
Lipstick
Lipshine
Kofia za kulalia
Kwa uwiano kidogo kidogo
Note.
Awe na eneo la biashara hiyo pesa iwe nje ya kutengeneza au kukodi flame.

Kwa mdada
Cosmetics ndo rahisi maana ndo customer base kubwa iko hapo
 
Dada anataka kufanya Biashara,naweza kumchukulia 1m kwenye kicoba. Lakini Marejesho ni baada ya miezi 3. Je afanye biashara gani ambayo at least ataweza kulipa marejesho. Wale wa mizaha bora uishie kusoma tu .... Naomba mawazo Mazuri.
1. Marejesho baada ya miezi mitatu ina maana hii miezi mitatu ya mwanzo toka kuchukua huo mkopo ni "grace period"?
2. Nakushauri awekeze ktk biashara yenye mzunguko mkubwa japo faida ya kila bidhaa/huduma sio kubwa lkn faida ndogondogo ukikusanya mwisho wa siku unapata faida kubwa
3. Mfano wa biashara zenye mzunguko mkubwa ni biashara ya vyakula (foodshop) , biashara ya matunda na vinywaji fresh (fresh juice & fruits) kama mgahawa hv, biashara ya pesa (Mpesa, Tigopesa) kwa maeneo yenye watu wengi km vile stend nk
 
1. Marejesho baada ya miezi mitatu ina maana hii miezi mitatu ya mwanzo toka kuchukua huo mkopo ni "grace period"?
2. Nakushauri awekeze ktk biashara yenye mzunguko mkubwa japo faida ya kila bidhaa/huduma sio kubwa lkn faida ndogondogo ukikusanya mwisho wa siku unapata faida kubwa
3. Mfano wa biashara zenye mzunguko mkubwa ni biashara ya vyakula (foodshop) , biashara ya matunda na vinywaji fresh (fresh juice & fruits) kama mgahawa hv, biashara ya pesa (Mpesa, Tigopesa) kwa maeneo yenye watu wengi km vile stend nk
Wazo zuri
 
Back
Top Bottom