Ordger
Member
- Aug 5, 2017
- 37
- 15
habali wana jf??
jaman mi udom siwaelew, nilichaguliwa chuo zaidi ya kimoja katika awamu ya kwanza ikiwemo udom, Ila sikucomfirm, na wakaniandikia kabisa sijacomfir, lakini Leo naangalia nakuta wameniandikia please your confirmed your admission, ASA sielewi wamecomfirm wenyewe au VP??
jaman mi udom siwaelew, nilichaguliwa chuo zaidi ya kimoja katika awamu ya kwanza ikiwemo udom, Ila sikucomfirm, na wakaniandikia kabisa sijacomfir, lakini Leo naangalia nakuta wameniandikia please your confirmed your admission, ASA sielewi wamecomfirm wenyewe au VP??