Ni kweli kupishana kwa sababu tumezaliwa tumeikuta baba n mama wamepshana miaka hasa baba kampta mama tena mingi tu,lakin sio kwa dunia ya sasa mpshane,mcpshane,mke awe mkubwa,mume awe mdogo,au mume mkubwa,mke mdogo,yote na yote mapenz ayaangalii umri wala kabila,rangi,destuli,mila ukishapenda...
Ni kweli kutembea uch n tabia mbaya bt cku iz n fashion tena ata wazaz we2 ckuiz wanatembea uchi na kufanya vi2 vya kiuch adhalan mbele ya watoto zao na ata mbele ya bibi zetu,ukiuliza eti n uzungu au tunakwenda na wakat
Ni mbaya kwa jamii inayomzunguka ila n nzur kwa muhusika na katika mapezi na akiamin kuwa mume wa mtu ndio anayejua mapez,na kutunza kuliko kijana mwenzie,wenyewe usema ujana majiyamoto,au kijana damu bado inachemka
Pia mbali na diamond na awala wake pia kwenye pch zinaonekana kuna baadh ya waalikwa wengne wanafutulu wakiwa vichwa wazi na pia naona kama wanaume na wanawake wakifutulu pamoja wakati kidini hairuusiwi na ndio mana ata msikitini wametenganisha sehemu ya kike na kiume pa kufanyia ibada basi na...
Kidini hairuhusiwi kabisa,na hata hao mashehe walitakiwa wakishakuta vile walitakiwa waondoke na kumsusia futari yake kwasababu wanakuwa wanafuturu futar ambayo iliyozungukwa na watu wenye zinaa,na hao mashehe pia n wanafki
Bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza rushwa ya ngono hasa maofisini.
Mbunge wa Kawe Halima Mdee amewataka Wasichana kujiamini na kutokutegemea kutoa Rushwa ya Ngono ndipo watimize ndoto zao za kimaisha. Mdee aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na Wanafunzi wa Chuo cha Mwenge wakati...
Miongoni mwa waajiriwa wengi nchini ukifuatilia historia yake ya elimu atakwambia amesomea malisia,uingereza.Na ndio waliojaa maofisini lakini kwa wale wahitimu waliomaliza hapahapa nchini bado wapo mpaka leo wanatafuta ajira,ukiuliza kwanini atakwambia anavigezo sasa elimu yetu itatusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.