Kuna mzunguko mkubwa sana wa noti fake kwa mkoa wa Iringa(hasa wilaya ya Iringa huku Pawaga)
Naomba Serikali kupitia vyombo vyake ifuatilie hili jambo. Inasemekana kuna wanunuzi wa mpunga waliingia na noti hizo wakaziingiza kwenye mzunguko.
Ukiwa na noti tano za elfu hukosi noti moja isiyokuwa...
Habari ndugu zangu,
Nianze kwa kuwapongeza wale wote waliofanya vizuri mitihani yao ya kidato cha sita. Niwapongeze pia walimu na wazazi bila kuwasahau walezi wa wanafunzi wetu hao. Niende moja kwa moja kwenye kiini cha mada hii. Kama taifa hatuna budi kujadili kuhusu mwenendo wa elimu yetu...
Habari za mda huu wadau,
Nianze kwa kuwasalimia wote na kuwapa pole mihangaiko ya hapa na pale(Ishu ya bandari na kupotea kwa Esther).
Nirudi kwenye mada,kuna hizi semina za walimu wa science na mathematics(kwa shule za sekondari) zimekuwa zikiendelea nchi nzima na kwa saa hizi nahisi zinafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.