Tatizo wataàlam hawakazii mañeno yaobtukawaelewa.FÀO LA KUJITOA sio sahihi ila ndio kimbilio la vijana wengi na wakizeeka(kuishiwa nguvu) sijui itàkuaje.
Nje ya mada ,Majamaa yanachukua makaa ya mawe kutoka songea yanapita iringa dom to Kenya,matokeo njia ya iringa dom inateketea.najiuliza pale mpakani yanalipwaje?
Je sisi hatuwezi alika mwekezaji aje achimbe na kusafirisha hayo makaa ya mawe,?Songea nayo inateketea kwa mavumbi.
TISS usalama wa...
Shukuru una watu,yaani shida ya mwezio unamweleza Mamako ana kuhangaikia anatuma pesa.Shukuru sana.Najua unaumia kama mtu ulieachwa na mtu unayempenda au pengine unampenda.basi umeshaijua rangi yake.
Tatizo hatuwaungi mkono DSTV,we VAR gani ni upande mmoja tu ina maana DSTV walishindwa kuweka kamera tatu golini tuone na video za upande mwengine.azam angepewa hiyo tenda mbona makamera yanamwagika tu.
Mi sielewi,kuna wakati walidai nchi inategemea sana umeme wa gesi,ajabu ukame ukija upungufu wa umeme,mara tumewasha NHP baadae tumefungulia maji na mtambo umezima sababu maji ni mengi.
Sometime unahisi hawa hauza solarpower wameingia mikataba na nchi ili sisi tuwe wateja wa kudumu wa solarpower...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.