Ukiweka line inadetect tu kuwa kuna line lakini haitambui network nilijaribu kuuliza voda nikaambiwa mpaka niiflash nikajaribu kucheki kwa wahindi fulani wakaniambia niwaachie model ya simu nirudi baada ya siku kumi nimejaribu kucheki online forums nimeona kuna namna fulani but ya kurestore but...
WADAU NINAOMBENI MSAADA NINA LAPTOP INSPIRON 600m inashida na haiwaki kila nikiunga adapter yake adapter inazimika taa ya kijani inayokua inawaka sijui ni nini tatizi nimejaribu kufungua ndani na nimesafisha motherboard yote lakini kitu ni kile kile kama kua mdau mwenye solution ya tatizo hili...
Wadau ninaombeni msaada nina laptop Gateway nikiwasha inawaka kabisa hata nikitaka kurua BIOS ninaweza lakini haikubali kuendelea ku boot nimejaribu kuweka first book iwe cd rom na nikaweka bootable cd lakini haikubali kabisa creen inakuwa blank tu na hata nikiweka first boot iwe cd rom mambo...
Mkuu kwenye windows xp hauzi kui shirik disk nakushauri tumia hiyo njia ya jamaa aliyokuambia utumie partition manager au utumie partition magic
lakini kama computer yako imekuwa affected with virus jaribu kutafuta mtu akuazime external hard driver ili uifadhi vitu vyako kwani hiyo inangia...
Wadau hivi majuzi nilishikwa na kama kichomi fulani hapa juu ya tumbo yani katikati ya tumbo na kifua sikulala kabisa usiku wake.
Sikuwahi kutokewa na hali hii hiyo ndiyo ilikua mara ya kwanza.
Hata hivyo sikuweza kwenda hospitali kwa sababu nilikua na safari ya muhimu sana. Nilijaribu...
Ninaomba mnisaidie namna ya kutatua tatizo kila nikiunga Modem yangu kwenye computer yangu inaleta msg km inavyoonekana kwenye picha.
Asanteni sana wadau.
Temana nao hao ni kawaida ya mapacha hata mimi nimeshuudia kwa msela wangu but yeye alivyogundua aliendelea kuwakilisha na mwisho wake ulikua mbaya sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.