ukimsoma Professor Rodney ankuambia poor country will remain poor forever hivyo kutoka kwenye umasikini tunaitajika tupambane wenyewe lakini mzungu hana nia yeyote ya kutukomboa kutokana na Umaskini wetu.
Hapa nakumbuka maneno ya Rais Nkurumah ambaye alisema tuwe na pesayetu kama Afrika na...
Muongo upinzani unataka utoe sera zake wapi wakati wakisema mnawaita wachochezi ruhusu mikutano ya kisiasa alafu utajua kuwa wanasera mpya au hawana.
wanachowashauri bungeni tu nikitu chamaana kwa maslai mapana ya taifa letu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.