Habari zenu wadau
Leo nakuja na maada hii ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli
>hutibu saratani
>hutibu ngiri
>hutibu tezi Duke
Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa mwenyezi ujuzi zaidi anakaribishwa.
Wadau habari zenu
Lengo la kuanzisha huu Uzi ni kutaka mnisaidie nahitaji kuwa hacker na nimesha anz kupitia baadhi ya matini ya hacking issues.naomba mwongozo wenu juu ya matini yaan vitabu vya kuanza kusoma kwa mwenyezi navyo anisaidie.
Naomba mnielekeze mbinu zipi nyingine nizitumie ili...
Mimi ni muhitimu wa chuo cha ualimu vikindu ngazi ya stashahada ya elim ya awali. Kwa wale wamiliki wa shule na vyuo ambavyo vinahitaji mwalimu mahiri wa elim ya awal yupo hapa.
kwa sasa nipo ukonga
kwa mawasiliano zaid watsup me 0769103506
Mahugijafar@gmail.com
Huu uzi nimeuanzisha kwa lengo la kukutana wale tuliosoma chuo cha ualimu Vikindu au wanaoendelea kusoma pale chuo.
Uzi huu ni mahsusi kwa kusaidia juu ya changamoto mbali mbali .
Kujulishana mambo yanayo zidi endelea pale VTC.
Mnakaribishwa wote toka wale wa enzi
za UBUGUYU mpaka MAMa AMINA...
jipatie mkoba wa kijanja kwa bei nafuu kabisa. pendeza na tokelezea kijanja kwa malighafi bora
kwa mawasiliano zaidi
watsup 0769103506
halotel 0621095493
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.