Duuu hii mbona kali, coz kuna mikoa ambayo ukiangalia kabisa unaona kuna ulazima wa kugawa, mfano ni mkoa wa Morogoro mkubwa sana, lakini Chato uwe mkoa hii kali
Mie naamini ni kweli yani Musoma ni mkoa upo kimya sana hasa kimaendeleo ukilinganisha na mikoa mingine mfano Iringa. Mie nimekaa sana mji Mdogo unaitwa Mafinga lakini kuna maendeleo ile mbaya kuliko hata Musoma ambako ni makao makuu ya mkoa
Aisee mie nimesoma pale SUA hizo machine zipo kama mbili tu, tulikuwa tunatumia japo ng'ombe wapo wengi. Ila ni kwamba zinauzwa bei kubwa sana tofauti na tunavyofikiri, wastani ni kama Tsh milioni 40 hadi 60.
Post sent using JamiiForums mobile app
Jipange kuwa mvumilivu na kuvuta subira sana mana nasikia hilo kabila wanasifa ya kujisifia kuwa kwao kuzuri "masifa" na ubishi mwingi. Samahani lakini naomba kuwasilisha, over.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Napenda kuuliza hivi nuru na giza hukaa pamoja? Hivi ndivyo ilivyo ukitaka nuru lazima ukubali kuhama gizani uende huko kwenye nuru, Ndiyo maana mchana na usiku vinaachana, haiji tokea vikachangamana.....
My view....... Think more
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.