Uonevu kwa sababu masharti yaliruhusu.halafu kiuhalisia mafanikio mengi yamepatikana kupitia kwao.madawati,maabara,madarasa zahanati na makusanyo mengi ya halamashauri
Inategemea mda aliokaa kazini kama ana zaidi ya miaka 12 ameshakuwa mwandamzi hata mshahara wake ni Mkubwa kuliko MTU wa degree mfano idara ya kilimo mwenye diploma na zaidi ya miaka 12 ni Afisa kilimo msaidizi mkuu daraja la kwanza TGS G wakati wa degree anaanza na TGS D hivyo kama ni mzee ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.