Mi nilitumia Calculator ya awali mwezi February kodi niliyoipata imekuwa doubled kwenye calculator mpya na nilipowasiliana na TRA via email kodi niliyopewa imetofautiana na hizo mbili zote. Its just confusing.
Salaam Mkuu
Nimejaribu kudowanload hyo calculator bila mafanikio, naomba nisaidie kwa Toyota Belta ya 2006. Cc 1290, CIF 3400 Kodi yake itakuwa kiasi gani? please Mkuu msaada wako
Asante Mkuu, Nipo kwenye mfumo unaotoa huduma kwa watumishi wa Serikali na kwenye Idara inayoshughulikia masuala ya walimu. Ni vyema kumwambia mtu ukweli kuliko kumpa Tumaini Hewa.
Mkuu walimu ni waajiriwa wa Wakurugenzi, lakini 'MAMLAKA YAO YA AJIRA NA NIDHAMU NI TSD AMBAYO NI SERIKALI KUU' ndio maana hata post zao hazitangazwi na TAMISEMI, wanapandishwa vyeo na TSD Mkurugenzi hawezi kubadili mishahara bila idhini ya UTUMISHI. Mwenye Jukumu la kusimamia MIUNDO NA VIWANGO...
Wakuu kilichopo hapa ni 'MAPENDEKEZO YA MISHAHARA MIPYA KWA WALIMU' yaliyofikiwa katika kikao cha pamoja kati ya wakurugenzi na TAMISEMI. Mnachokiona ni 'BARUA' kutoka TAMISEMI kwenda kwa Makatibu Tawala waliotakiwa kufikisha nakala kwa Wakurugenzi na wadau wengine. Mapendekezo hayo yanaenda...
@ the Grassroot Level? No, ndio maana leo hii watu tunasafiri, wanajitokeza wahubiri kwenye daladala/mabasi ya mikoani, wanamwaga neno wote kimya hakuna anaerusha tusi wala kumwambia aondoke imani zetu hazilingani. Huu udini wa Tz ni agenda ya kisiasa tu
Point of Correction, Mkurugenzi ni Mwajiri wa Mwalimu lakini Mamlaka ya Ajira ni TSD. Mwl anapewa barua ya ajira na kuthibitishwa kazini na TSD. Na masuala yote ya nidhamu yanashughulikiwa na TSD ikiwemo kusimamishwa na kufukuzwa kazi na hata authority ya kumpandisha mwalimu cheo ipo TSD.
Nani mshauri wa huyu binti? Tayari alishaanza kupata sympath ya umma, tukaona amebadilika, anavaa vizuri na anaheshima, kujitokeza kwenye mitandao kwa namna hii na namna nyingine tulizokwishaziona kunaweza kumuweka kwenye hali ngumu katika kesi yake, anaweza kushawishika kufanya matukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.