Habarini wakuu,nipo Mkoani huku na baada ya kuhangaika sana kutafuta biashara kwa ajili ya kipato cha ziada. Nimegundua kua biashara ya rasta za wadada inatoka sana,ninaomba mwenye abc juu ya biashara hii tuwasiliane kwa namba hapo chini, lengoni kujuzwa wapi kwa Dar ntapata mzigo wa jumla na...
January Makamba: Namheshimu sana Rais Kikwete Kwa Aliyonifanyia.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba amesema kuwa hatokaa asahau mambo makubwa ambayo raisi mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alimfanyia kama mwanasiasa...
Mie ni kijana mwenye miaka 29, elimu yangu ni ngazi ya chuo kikuu nafanya kazi katika shirika natafuta mke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe mrefu mweusi mwembamba kiasi
2. Awe mkristu wa kweli
3. Kipato na elimu sio issue sana. Kwa alie tayari anifuate pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.