Mtalam.. unapozungumzia equivalent qualifications inamaana levels na sio course. Advance diploma ni equivalent to Bachelor... Ila ukisoma imeandikwa 'related' inamaana masomo yanayoendana na sio levels.
Suala ni kutimiza matakwa ya tangazo la kazi na kujaza taarifa zako kwa usahihi. asilimia zinakuonesha tu kwamba kuna taarifa unazotakiwa kujaza lakini hujazijaza.
Nadhani mojawapo ya mbinu za kivita ni kutompa mwenzio nafasi ya kujua uharibifu alioufanya kwako. Kwa kusema wameuawa wangap ni kuonesha udhaifu wa jeshi. kwa mfano Iran alipopiga kambi ya Marekani pale Iraq kwa akili ya kujiuliza unaweza jua tu kuna watu walipoteza maisha kwa kuwa kambi ile...
Nadhani bado haitakusasidia kwa kuwa unapoingia katika utumishi wa umma ukigundulika ulidanganya kipindi cha kuomba kazi hatua dhidi yako zinaweza kuchukuliwa.. nilijulishwa na mdau mmoja wa kazi.
Mnaweza kulingana lakini msifanane. naamini namna mfumo ulivyowekwa ni kozi husika au inayofanana na hiyo. matakwa ya tangazo huwekwa kwa makusudi maalumu. Kwa mfan: watu wa Engineering wanaendana katika masomo meengi lakini hawafanani katika ujuzi Industrial vs textiles engineer yapo masomo...
jaji mfawidhi,
Kuna utofauti kati ya kipindi na Miaka. Katiba imesema miaka ila imetoa nafasi kwa sheria kuangalia kuweka umri wowote unaofaa... Sheria imeweka vipindi wa utawala wa CAG na haijaweka ulazima wa kuteuliwa tena. phrase 'shall be eligible' humaanisha kuwa na vigezo stahiki (having...
Zaidi soma:
https://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-prof-assad-kumaliza-kipindi-chake-limekaa-kisiasa-zaidi-na-siyo-kisheria.1646505/
Nianze na masahihisho kidogo, Katika Sheria(Act) itumike section/kifungu na sio ibara. Ibara hutumika katika katiba. Jambo la msingi la kujiuliza katika...
Kazi yake ni kuhakikisha usalama wa wilaya na si kuchungulia katika makanisa kubaini idadi ya watu... Mungu mwenyewe anasema wakutanikapo wawili panatosha kuwa kanisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.