Daaa, hivi kwenye ngumi Kuna kibebwa kweli na ukizingatia alikuwa anashinda kwa KO tena mapema kabisa, au unataka kusema mabondia wote aliowapiga walikuwa wabovu? hebu jiunge na boxing nawewe wakubebe mkuu.
Utarukaruka muda wote , utafanya mbwembe zote, lkn kosa moja tu, unakutana na puch moja tu ambayo ndiyo hitimisho la yote hayo, that is Wilder! Haina ubishi ni bondia bora Sana kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.