hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Daaa, hivi kwenye ngumi Kuna kibebwa kweli na ukizingatia alikuwa anashinda kwa KO tena mapema kabisa, au unataka kusema mabondia wote aliowapiga walikuwa wabovu? hebu jiunge na boxing nawewe wakubebe mkuu.