Tyson alikuwa anabebwa, overrated

Acha dharau ...

''Tyson won his first 19 professional fights by knockout, 12 of them in the first round. He won the WBC title in 1986 after stopping Trevor Berbick in the second round, and added the WBA and IBF titles after defeating James Smith and Tony Tucker in 1987. This made Tyson the first heavyweight boxer to simultaneously hold the WBA, WBC and IBF titles, and the only heavyweight to successively unify them''

Naona unajisahaulisha kuwa at the peak kabla Tyson hajapigana na hao unaowasifu kina Evandar na Lennox, alihukumiwa jela miaka 6 na kukaa gerezani miaka 3. Lennox alimkuta Tyson akiwa na miaka 35

Tyson ni miongoni mwa ma legend wa Heavyweight taka usitake na wapenda masumbwi wote tunamheshimu
Baba haya sema wewe Ali alikaa nje ya ulingo kwa muda gani na aliporudi akakutana na Foreman na Foreman akatulizwa.
 
Kwa hii hoja yako ni inamaanisha media zilifaulu pia kumtangaza jamaa.

Kama nilivyoandika mwanzo.
Soo katika wapiganaj wooooote miaka na miaka n yeye tu kafaa kutanganzwa katangazika sio ???

Kama ilivyo kwa Pele na Mpira , John Cena na WWE ndivyo ilivyo kwa Mike Tyson na masumbwi ...hakuna na hatokuja tokea kama huyo
 
Haaaaaahaaaaa huna hoja Douglas alikataa kurudiana Holyfield waliporudiana nadhani unajua kilichotokea usiniambie hujui kilichofanya T amng'ate Holyfield na kabla ya pambano Mike alimtahadharisha Real Deal "ukirudia kufanya ulichonifanyia mara ya kwanza utalipa" mbona clip zipo? na wote walishahojiwa? Usijifanye hujui michezo aliyofanyiwa Mike ili kumuangusha katika prime yake Mike hakuna mbwa yeyote wa kutia mguu
Wewe na wewe unaanza komedi. Kwahiyo losses zote za Tyson zimetoka kwa Evander? Hao mbwa aliowapiga mtaje aliyekua kwenye prime kama yeye
 
Soo katika wapiganaj wooooote miaka na miaka n yeye tu kafaa kutanganzwa katangazika sio ???

Kama ilivyo kwa Pele na Mpira , John Cena na WWE ndivyo ilivyo kwa Mike Tyson na masumbwi ...hakuna na hatokuja tokea kama huyo
Acha ubishi. Tanzania kabla ya Tyson bondia gani mwingine alikua anajulikana anayetokea nje ya Afrika?
 
Hata Mike alimlalamikia refarii jamaa anashika sana na vichwa vya kimya kimya anapiga ingia YouTube andika "Holyfield conceive headbutts and blows vs Tyson"
Mi nililiona pambano live sikuhadithiwa
 
Subiri siku atakapobwagwa,hakuna bondia wa milele,na huwezi kumlinganisha Mayweather na Tyson ni watu wa uzito tofauti sana,huyo Mayweather wako hata leo ukimpandisha ulingoni na Tyson atavurugwa mpaka utabaki unashangaa ndugu...
Mzee kwenye boxing kuna kitu kinaitwa pound for pound, kwamba kwa skills na nguvu zako unatazamiwa ukienda weight ya juu yako utaperform vipi.

Na Mayweather ni best hata kwenye pound for pound.
 
Mike Tyson being "evandered" by Evander Hollyfield. Tatizo kubwa la Tyson ni kwamba alikuwa amezoea mapambano ya kuwapiga watu raundi ya 1 au ya 2, mwisho na hakuwa na pumzi ya kupigana zaidi ya raundi hizo. Hii ilimaanisha kuwa hakuwa na pumzi pamoja na uzoefu wa kupigana zaidi ya ya 1 au ya 2, sana sana ya tatu. Mimi siku ya pambano lao la kwanza nilipomuona Evander niliwaambia watu pale pale kuwa LEO TYSON ANAPIGWA.

Sababu kubwa iliyonifanya niseme hivyo ni kuwa figure ya Hollyfield ilikuwa inaonyesha ni mtu ambaye ni wa kupigwa kuanzia round ya 8 au zaidi na si vinginevyo, round ambazo Tyson hakuwa na uwezo nazo. Yeye alikuwa na uwezo wa raundi ya 1 na ya pili tu! Ni kweli kabisa Tyson alikuwa anakuwa over-rated, tena sana!
Hujui ngumi wewe evander alikua anafanya headbutt lakini refaa alikuaa anakaa kimya...
 
Yani anataka kumfananisha foreman na tyson ? Foreman atapapambana vipi na tyson wakati wakati tyson yupo kwenye ubora wake kina ali na foreman wameshajichokea
Walishajichokea kivipi na wakati Foreman alikua na second return ambayo Tyson ndiyo akamjibu vile mwandishi?
 
Mbona hueleweki mzee? Holmes mzee lakini hapo hapo unalalamika kwanini hakumuingia Foreman? Kwani Foreman kizazi chake? Angempiga pia Foreman ungesema hivyo hivyo kwamba kampiga mzee!
We na we ubishi unazidi sasa angepigana vipi na Foreman ikiwa yeye Tyson alishamkwepa mbele ya hadhara?
 
Yani anataka kumfananisha foreman na tyson ? Foreman atapapambana vipi na tyson wakati wakati tyson yupo kwenye ubora wake kina ali na foreman wameshajichokea
So Foreman asipigane naye kajichokea? Safi. Na mbona alipigana na Holmes na Berbick ambao ni kizazi cha Foreman? Na akachukulia mikanda huko?
 
Chief naheshimu sana mawazo yako,lakini huu uchambuzi huko biased sana....ingawa huyo unayemsema yuko overrated yupo kwenye top five ya greatest heavyweight boxer of all the time.
Yupo hapo kwa ajili ya records. Je ni anastahili? Kama unafuatlia mpira, Zidane akisemwa ni kocha bora zaidi ya Wenger kwakua ana UEFA itakuingia akilini?
 
Chief naheshimu sana mawazo yako,lakini huu uchambuzi huko biased sana....ingawa huyo unayemsema yuko overrated yupo kwenye top five ya greatest heavyweight boxer of all the time.
Yupo hapo kwa ajili ya records. Je ni anastahili? Kama unafuatlia mpira, Zidane akisemwa ni kocha bora zaidi ya Wenger kwakua ana UEFA itskuingia akilini?
 
Boss mi sina cha kusema. Hata wewe kaangalie highlights za niliowataja kisha wafananishe na Tyson.
Uko sahihi kuamini unachokiamini ila usifosi kila mtu akubaliane nawe huwezi kumwambia eti amepotea kumiangalia Mike!
 
Huna cha kunielekeza kwenye boxing wewe mi naicheza wewe unaiandika yaani umri huu uanze kunifundisha mambo ya out boxer?
Sasa kama unajua hayo na unadai Wilder hashindi wewe hujui kitu. Mimi boxer siiandiki pekee. Nimeiishi. Maoni yako hayaonyeshi kama unajua boxing.
 
Acha ubishi. Tanzania kabla ya Tyson bondia gani mwingine alikua anajulikana anayetokea nje ya Afrika?
Hata mpaka wakati huu naandika hapa , huna zaid ya Tyson , hakuna anae mzidi au hata kulikaribia hili jina

Kwanini imekua hivyo? Ni kazi yake aliyo ifanya wakati yuko kwenye ubora wake.

Hao wenye majina wanajulikana na kikundi cha watu wachache wanao fuatialia masumbwi..nje ya hapo hakuna anae wajua

Muulize dada yako huku Tyson. Atakupa jibu.. Muulize kuhusu John Cena au pele atakupa jibu...majina anayajua haya japo hajawah angalia iwe mpira au mieleka.


Muulize kuhusu wilder Au AJ au Furry ...kama hata aliwa wasikia bahati mbaya

Again again, jina haliji kama zawadi, zinaletwa na kazi yeko iliyo tukuka full stop

Bibi au babu yako wanajua kuhusu Cristiano Ronaldo...wanaweza wasijue n nani na anafanya nn ila wanatambua yupo... How ??ni kazi anayofanya...same thing goes to Mike Tyson
 
Haaaaaahaaaaa kuna kale kaimbaji kanaitwa Nandy na kenyewe kanamjua kuna wimbo niliusikia kamuimba sasa haoni ajabu mtu km yule ambae si mfuatiliaji anamjua Tyson,Khadija kopa kawahi kumuimba wasanii kibao humuimba Mike bibi yangu juzi hp ananiambia "Usijifanye Tyson hapa" yaani mleta mada inamuuma kishenzi watu kumtukuza Mike hata saa hz pita YouTube na mitandao mingine utakuta khabari za Mike hao wengine wamestaafu wamesahaulika Mike km bado yupo ulingoni ana mvuto wa kipekee sana!
Huko kujulikana ndiyo nikasema.

Alitegemea promoters, MEDIA, has been na journeymen

Watu mnajitia kichwa ngumu ila mtaelewa tu
 
Back
Top Bottom