hyperbolic
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 459
- 525
Na mimi nimeshangaa. Coz huo mwimbo kaimba msagasumu. Nashangaaa mtu anaanzisha thread kwa kukurupuka
watu wamembandua madam prezidaa na wakamrekodi itashindikana hapa kwetu? ukishakuta mlango uko wazi gonga sepa, tatizo letu tunataka kuwafurahisha wanawake mwanamke unatakiwa kuishi nae ki uhalisia yaan vile alivyokukuta ndio uishi nae hivyohivyo ukisema ubadilike kidogo tu lazma akushike mapum*u...Yaliyomkuta Stamina ama mwanaume mwingine yoyote yanaweza mkuta yoyote yule si jambo la ajabu kabisa, ni moja ya mapitio ya kimaisha wanawake sio ndugu zetu.
baada ya kuoa tunaishi maisha fake. kubali au ukatae lakin kuna baadhi ya mambo utapunguza ili kufurahisha wengine shughuri inaanzia hapoKwani Stamina kuna kitu alibadilisha alivyooa?
Na mimi nimeshangaa. Coz huo mwimbo kaimba msagasumu. Nashangaaa mtu anaanzisha thread kwa kukurupuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ya sasa yalivyo,wanaume wengi na hasa wa Dar,wameathirika sana na mtindo wa maisha kiasi kwamba wanakosa nguvu za kutosha kuridhisha wake zao.
Unaweza kudhani utani lakini tatizo hili ni kubwa sana.Huenda Stamina akiwa mmoja wao.
Sasa wakati unaimba wimbo huo na ndani wewe ndio unaonekana siyo mwanaume mashine unatarajia nini?
Bado Roma
Sent usin
Hahahahahaaaaa"Achana na huyu mdigo asiyejua maana ya kupenda
Mama Ivan mwenyewe kamchoka anataka kwenda
Sina kicheche cha kando we kwangu ndo bao la ushindi mama
Mwanaume mipango mashine iachie mahindi bwana!!!
Kama hujawahi kuchubuka ukiwa unafanya mpenzi wako Basi jua ww sio lolote sio chochotee.....kuikamua ile kitu kisawasawa lazima mti uchubuke
Kumegewa noma.niliwahi kummegea jamaa mwaka juzi alikuwa akiishi mbali sana na mkewe. Huwa nikimuona YouTube anavyomsifia mkewe nabaki kucheka tu.