Chief mkwa
Habari Nina Laptop Aina YA HP elitebook 2560p
Imeunguwa mathaboard Maji yaliingia upande w keyboard je naweza para Wapi mathaboard yake kw apa bongo nipo Moro
uwo mmea siujui jina ila nishawahi kuona na hiyo hari ya binadamu au mnyama wowote kugusa na kusinya niseme ni hari ya kujilindaa kingereza wanasema mechanism difence . mfano kwa wanya km nungu nungu au kalungu yeye ile miba yao usaidia wasizurike na wanyama wengine na atauwo mmea ndo ufanyavyo...
Ps 2 game nilizo cheza na kumaliza
God of war 1
God of war 2
God hand
Need for speed most wanted
Pro evolution soccer ila sina uwakika km mpira unaweza cheza na kuisha
Game za computer nilizo cheza na kumaliza
Sniper elite v2
Fifa 14
Pes 2018
Zuma
Mafia 2
Game za simu nilizo cheza na kumaliza...
Upo utofauti na ubora, mfano kama una laptop ukiwa unacheza game kwa external screen kama monitor resolution yake hubadilika ya PC hujifinya ili iwe sawa na ya monitor hivyo ata ubora wa picha au muonekano upungua
Kiranga mungu yupo kakumba na kakuwekea kila starehe ili umsifu mungu atengenezi baya kwa kiumbe alicho kiumba bali binadam anajitengenezea mangamizo mwenyewe
Nihivi mungu ni mwema wakat wote
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.