Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, mimi ni mtumiaji mzuri sana wa simu zinazotumia mfumo tajwa hapo( android),. Lakini ndani ya siku kadhaa zilizopita kumetokea aina mpya ya matangazo ambayo yanajitokeza pindi unapowasha DATA na kutawala screen nzima ya simu nimejaribu kufanya namna ya kuyatoa au kudisable nimeshindwa, nimejaribu kuondoa baadhi ya Application nikidhani pengine ndio zinaleta matangazo haya lakini jitihada zimegonga mwamba. Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba msaada kwa wanajamii wezangu,

196175c599b69ea4467a150d71be3a01.jpg


879b848be1e5ca79293f5a590aa98880.jpg


Hizi picha ni namna yanavyotekea kwenye simu yangu
 
Weka aina ya simu na model, na je ukiwasha data na usipofungua app yoyote hayo matangazo hutokea?
 
Aina ya simu ni Samsung c-5, nikiwasha data hata nisipofungua App yeyote matangazo yanatokea
Hzo ni virus ambazo zishaathiri system files ambapo zikipata acces ya internet huzalisha ads. Solution hapo ni kuwipe data and cache ikiwa tatzo litaendelea inabidi ufanye reinstallation.
 
Hi naomba msaada ni jinsingani ya kuondoa matangazo yanayokuja kila mara kwenye simu yangu yani kuna pop up kila napotaka kuangalia videonau picha kwenye whatsapp masaada please
 
Nashukura kwa kujali na kuniuliza natumia whatsapp ipi minajua iko moja tu labda msaada naomba kama iko nyingine
 
Hi naomba msaada ni jinsingani ya kuondoa matangazo yanayokuja kila mara kwenye simu yangu yani kuna pop up kila napotaka kuangalia videonau picha kwenye whatsapp masaada please
je whatsapp yako ilumeifunga kwa kutumia progran za kufunga mafaili kama app lock, vault n.k?

kama hapana


je unatumia video player iliyokuja na simu au uliyodownload kutoka play store?
 
WhatsApp sijaifunga kwakutumia hizo app za kufunga app ila nakumbuka nilidownload player ambayo haikuja na simu ndio huwa natumia najaribu niitoe labda kama itasaidia
 
Jinsi ya kuondoa unwelcomed ads,
Fungua setting katka simu yako nenda setting »»apps>>> scroll kwanda chini mpaka mwisho kabisa utakuta kuna app ambayo haina icon bonyeza /ifungue alafu uninstall.
Mpaka apo tatizo litaisha kabisa.
Kwa watumiaji wa android tu
sketch-1547572820932.jpeg
sketch-1547572864833.jpeg
sketch-1547572909767.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom