PC yangu aina ya DELL ukitia windows inasumbua na hats ikiingia window kioo hua cheusi na kuandika" Window is not genuine" nini tatizo na vipi nalisolve
Ukitaka kufungua blog lazima ulipie domain name na web hosting kwa wale ndo kwanza wanaanza kujikita katika tasnia hiyo vipi utalipia.
Naomba kuwasilisha !!!
Natumia simu aina ya Lenovo
Lenovo A6000
Version 4.4.4
Baada ya kudownload movie au vitu vyengine wakati wa kutaka kuvihamishia katika PC kwa kutumia simu tajwa halo juu zoezi linakua gumu na limeshindikana kutumia USB ,hata hivyo simu inasoma nimeifanyia installation na icon inaonekana katika...
Katika dunia ya sasa imezoeleka kua kila binadam anajiona kua yupo sahihi na ikitokea kua anamuamini mwenziwe basi kwa kiwango kidogo .
Kwani siku za sasa ipo tabia hata ukitokewa na shida hafla hela hata nduguyo atakwambia hana kwa kua kua tu hakuamini.
Tujuzane kwa anaejua uaminifu na upendo...
Wana jamvi,
Nilimpa rukhsa mke wangu ya kwenda kwao kwa ajili ya matibabu, mwisho wa mchezo kakataa kurudi nyumbani na matusi pamoja na kashfa imekua ndo malipo yangu.
Wakati ukiangalia alikua hana shida na kitu, nimejitahidi kama mwanaume ili kumtimizia mahitaji ya ndani na ya nje la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.