Naomba ushauri,
Dada yangu anaufaulu huu hapa;
Physics D
Chemistry C
Biology D
Mengine yaliyobaki F
Ushauri jamani comment zenu sio matusi kama huna ushauri soma pita
Wadau habari na mdogo wangu kasoma nursing ya mwaka moja anaweza soma certificate ya nursing mwaka moja matokeo yakidato cha nne physics D biologyD chemistry C mengine F anaweza akaomba nacte akapata akitumia cheti chake cha nursing mwaka moja na matokeo take ya kidato cha nne
Ninamdogo wangu amemaliza nursing ya mwaka moja anaweza akasoma certificate ya nursing amesoma masomo yafuatayo physics D chemistry C biology D mengine alipata F ila nacte wanataka passe D 4 katika masomo matatu ya sanyansi yenye anazo tatu naomba ushauri wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.