ni rahisi tu muhimu ni picha yenye vipimo vyao(mm nilitafuta rafiki akanipiga nikaisubmit)ila nasikia wengine wanasema mjini wanapiga kwa 10,000 kisha unajaza fomu yao ambayo haichukui hata dakika 30.Mimi nimecheza mwaka jana nasubiri matokeo wiki ijayo,ila zoezi bado halijafunguliwa mpaka mwezi...
Tutaongea yote na tutamaliza maneno yote ila Marekani ni land of opportunities,mwingine anasema kabisa eti bora aendelee kuteseka hapa Tz kuliko kwenda US kwa kisingizio eti upweke utamsumbua!
Habari wanajukwaa nauza perfume za kike na za kiume kwa bei ya 40,000 tu na ni brand ya kizawa kabisa
Inakaa muda mrefu na inaweza kusikika harufu yake kwa umbali mrefu,napatikana Dar es Salaam unaweza kunichek kwa namba 0674376787 nikakuletea sample.
hii movie mi sijafinikiwa kuiona ila kwa nilivoona tangazo lao nikawa nahic kabisa humu shughuli hamna na ile IST yao😅😅alaf cjui kwa nn azam wanakuwa wanaipa movie fulani booooonge la promo lkn ukifanikiwa kuiangalia hamna kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.