Habari za leo wadau,
Timu yetu ya Taifa yaani Taifa Stars imeanza harakati zake kwenye mashindano ya AFCON 2024 nchini Ivory Coast.
Tumeanza kwa kupoteza mbele ya timu bora Afrika na Wana Nusu Fainali wa Kombe la Dunia mwaka jana.
Pamoja na mambo mengine, lakini sehemu ambayo kama taifa...
MTAZAMO WANGU: SIMBA TUSIMAME HARAKA
Habari wadau.
Poleni sana kwa mwenendo usioridhisha kwenye michezo miwili ya ligi kuu ya NBC.
Tumeumia, tumehuzunika sana, lakini nashauri kwamba iwe IMETOSHA.
Game za derby hizi, wachezaji/timu zinatumia energy kubwa mno.
Kwa hiyo, ni ngumu mno kuwa na...
Hello, habari wana jamvi.
Nina ndoto ya kufanya biashara ya kuagiza ama kwenda kununua mzigo China hususan simu na vifaa vya simu.
Naomba kujua na kupata ushauri wenu, nahitaji;
1. Mtaji kiasi gani?
2. Gharama za safari (kama itanilazimu kusafiri)
3. Itanichukua muda gani aidha nikisafiri ama...
Ushauri mzuri sana. Msigwa abaki na majukumu yake ya msingi kwenye Wizara ambapo yeye ndiye Mtendaji Mkuu wa Wizara yake.
Jambo la msingi la kuzingatia ni kwamba, atapimwa kwa kile atakachokifanya pale Wizarani na siyo mapambio na mengine ambayo siyo sehemu ya majukumu yake.
Kufanikiwa ama...
Rafiki yangu ameota akiwa masomoni India.
Lakini alivyoamka asubuhi amejikuta yupo nyumbani kwake, akajiandaa kwenda kazini kama kawaida.
Baadae alipigia simu kunieleza na kuniuliza nini tafsiri yake? Kiukweli, sina elimu, nikamwambia tuendelee kuuliza wajuvi wa mambo haya.
Sasa mtaalamu...
Binafsi ninaamini Salim Kikeke anajua anachokifanya na tarajieni kusikia taarifa njema zaidi kumhusu yeye.
Namuombea kila la kheri kwenye maisha yake na utumishi wake kwa jamii ya Watanzania.
Pole sana kwake. Lakini waamuzi wa EPL ni wa kuwadharau na kuwapuuza tu.
Walihakikisha hadi wanaiondoa Man UTD kwenye fighting spirit kabla ya ETH nae kutuletea misukule yetu Evans na Maguire.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.