Hiyo tabia ya mumeo niko nayo mimi A to Z,
Tatizo ni wewe na makwazo yako(bila shaka mumeo ni mkimya) ila wewe una mdomo sana lakini pia una choyo na mbinafsi yaani humsaiidii kwenye Mambo ya familia yenu( kipato chako ni chako tu ila chake unakitolea macho) yaani hushiriki kwenye ujenzi wa...
Cha ajabu na cha kushangaza comment yako ya leo imekuwa ni kinyume kabisa cha mabandiko yako karibu yote na ndio sababu nikataka kujua hii imesababishwa na kitu gani kwani si jambo la kawaida,
unahoji kitu ambacho hakina mantiki kabisa huku kwa bahati mbaya au makusudi ukishindwa kuhoji yale...
Hata wewe? daaaaah ndomana mkulu alisema mayalla kwao ni njaa.....hakukosea!!
Wewe kama mwandishi ni jukumu lako kutafuta taarifa za ziada kuhusu tukio lile badala ya kuendelea kutuhoji sisi raia wa kawaida,hujui kuwa hiyo ni moja ya wajibu katika majukumu yako?
Mkiambiwa waandishi wa habari...
Mtu hujawahi hata kutumia manati,na hujui chochote kuhusu siraha hususan bunduki zaidi ya kuziona zile toys kwenye movies
Ila mtu bado ana jifanya anajadili maswala ya namna bunduki ilivyotumika,
kama sio umbeya ni kitu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ukifika Liwale Mjini na ukawauliza wenyeji nataka kufika Ngende utakuwa umefika? au kuna jina jingine zaidi ya hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakuu na wenyeji wa huko tuambieni kitu kinachofanana,hii kutofautiana mnatuacha njiapanda sisi tunaotaka kufika huko
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.